World Bank: Mwaka 2012 kulikuwa na Watanzania masikini milioni 12; hadi kufikia mwaka 2018 waliongezeka masikini milioni 2!

hapa sasa tuko kwenye ukurasa mmoja, isipokuwa watangulizi wa Magufuli hawakuwahi kupigia chapuo watu kuzaana. ndiyo maana chini ya JK umasikini ulikuwa unapungua kuliko sasa!
 
Kwenye report yao hawajaandika hayo. Wemebase kwa wananchi wakawaida in relation to ukuaji wa uchumi.
nimemwambia asome tena - inawezekana ame comment bila kusoma kilichoandikwa na WB!
 
hapa sasa tuko kwenye ukurasa mmoja, isipokuwa watangulizi wa Magufuli hawakuwahi kupigia chapuo watu kuzaana. ndiyo maana chini ya JK umasikini ulikuwa unapungua kuliko sasa!


Siyo kweli vinginevyo Tanzania tusingekuwa karibia milioni 50 leo hii, zingatia kwamba wakati tunapata uhuru mwak 1961 tulikuwa milioni 8 tu, hivyo kwangu mimi hakuna tofauti wote hawakufanya chochote kudhibiti ongezeko la watu bila ya mpangilio, ...
 

2012 hadi 2018 wamezaliwa watu mil ngapi pia? Population sio static.. Hao waliozaliwa masikini ni wengi sana tu, hivyo idadi ya masikini itaongezeka zaidi sbb wengi wamezaliwa na ni masikini.

Hivyo isijengeke dhana kuwa serikali ya CCM ndio imeongeza idadi ya watu kuwa masikini, sababu kubwa 99% ni population growth 2012 - 2018 automatically inafanya idadi ya watu masikini kuongezeka, hiyo 2mil ya watu masikini kuongezeka sbb kubwa 99% ni population growth.
 
Unaujua mlipuko wa ongezeko la watu Tanzania? Bila kuingiza hilo takwimu,hizo takwimu ni hazina maana, kwa kifupi kulikuwa na watu wangapi TZ 2012 vs 2020?
Ni wapi ulijifunza kwamba watu wakiongezeka umasikini unaongezeka? Inawezekana ccm ikawa ni tanuli la kupunguza akili za watu hebu tazama dubwasha kama hili, hakika baadhi ya mabao yangepelekwa chaputa angalau kupunguza idadi ya wapumbavu afu utakuta dude kama hili lipo kwenye maamuzi.
 


Hata logic ya kawaida tu huwezi kutumia? Ngoja nikusaidie una watoto wa 2 unapata laki 5 kwa mwezi kama Mshahara, unaongeza watoto wengine 2 na kuwa 4 lakini kipato chako kimeongezeka (kama una bahati) kwa shilingi elfu 20 au hata hakijaongezeka kabisa je, familia yako itakuwa tajiri au masikini kulinganisha kabla na baada ya ujio wa watoto 2 wa nyongeza?
 
Hapa leo wb hawasifiwi zaidi ya kuitwa mabeberu
 
Sasa Kama hawajishughulishi unataka nani awabebe? Maisha ni mapambano,usisubiri eti mazingira wezeshi.
 
Umasikini umepungua kwa asilimia 24 kuanzia mwaka 2007 - 2018. Hii ni average ya 2.4% kwa mwaka.
Population Tanzania inaongezeka kwa asilimia 3 kwa mwaka.


Kwa hiyo, asilimia ya watu maskini imepungua ingawa idadi imeongezeka. Huo mstari mwekundu ni jinsi asilimia ya watu masikini ilivyopungu na hizo bars ni idadi il
Kwenye nyuzi kama hizi huwezi kuwaona Lumumba buku 7 f.c .
Tupo angalia hapo juu.
 
hapo ndipo tatizo lipo.

trend ya population siku zote na mahala pengi sana duniani huwa ni kuongezeka mwaka hadi mwaka.

kiongozi mzuri na mwenye akili sawa sawa ni yule anaye harmonize population growth vs country's income and wealth distribution.
JK aliweza kufanya hivyo kwani chini ya uongozi wake alipunguza idadi ya masikini kwa 1M kati ya 2007 na 2012 huku population ikiongezeka.

kwa hiyo pamoja na population kuongezeka, bado JK alitengeneza trend ya kupunguza umasikini miongoni mwa Watanzania.
swali ni... jee, ni nini kilichomshinda mrithi wake (JPM) ambapo inaonyesha dhahiri kuwa Watanzania wengi zaidi wanazidi kutumbukia katika lindi la umasikini? kwa nini kashindwa ku mantain +ve trend ya JK?

chochote kiongozi unachokifanya ni lazima kiwe na lengo la kupunguza umasikini kwa watu unaowaongoza. ukishindwa kufanya hivyo then hufai kuendelea kuwa kiongozi wa watu hao!
 
Hayanihusu ila nimejikuta nacheka hapa kama chizi kwa comment yako, nilikua napita kimya lakini imebidi nikutaarifu tu kwamba umetisha cc: Drone Camera
Population imekua kaka.Hawazaliwi matajiri pekee.
Halafu cheki hapa chini๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
Wanaoishi kwenye umasikini=14M
Jumla idadi ya watu=60M
14/60 ร— 100% = 23.33%.
Only 23.33% live in poverty. Kwenu ni 35% hehehe.
 
taarifa uliyoweka umeitoa NBS (ambayo always ipo lop sided kwa vile NBS ni instrument ya watawala).

taarifa yangu nimeitoa WB.... this speaks volume!
 
Mkuu unaweza kuwataja kwa majina hao walioongezeka??
Mmoja wao ni wewe ndo maana unataka kujua majina ya wenzako kama ni ya kule ili uone nafasi yako na uwezekano wa uteuzi ujao wa kabla ya uchaguzi. Unauliza swali wakati muafaka maana anayeteua yuko kwenye uteuzi wake mwenyewe wa kugombea uchaguzi ili aongezewe miaka mingine 5 ya kuteua wote wa kule katika nafasi mbalimbali wewe ukipata uDC kwa ujinga wako. Tuliobaki yanayotokea Dodoma ni janga la ongezeko la umasikini mkali zaidi.
 
Siyo kweli vinginevyo Tanzania tusingekuwa karibia milioni 50 leo hii, zingatia kwamba wakati tunapata uhuru mwak 1961 tulikuwa milioni 8 tu, hivyo kwangu mimi hakuna tofauti wote hawakufanya chochote kudhibiti ongezeko la watu bila ya mpangilio, ...
swali ni....jee JK aliwezaje kupunguza idadi ya masikini pamoja na population increase?

kiongozi yeyote anapaswa kuwaondoa wananchi wake kutoka lindi la umasikini.... akishindwa hafai kuenedelea kuwa kiongozi!
 
Population imekua kaka.Hawazaliwi matajiri pekee.
Halafu cheki hapa chini๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
Wanaoishi kwenye umasikini=14M
Jumla idadi ya watu=60M
14/60 ร— 100% = 23.33%.
Only 23.33% live in poverty. Kwenu ni 35% hehehe.

Kwanza umecheck takwimu zilivyo, kwamba JK alikua amepunguza umaskini pakubwa, mkaja nyie na mikwara na makelele yenu na kuzalisha maskini wengi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ