World Bank: Mwaka 2012 kulikuwa na Watanzania masikini milioni 12; hadi kufikia mwaka 2018 waliongezeka masikini milioni 2!

Si nyie mlimuita JK ni dhaifuuuuuuuuuuuuuuuuuu, leo mmesahau unaanza kumsifia, au ndio mmeshikwa pabaya na Mh. Magufuli, naona mmepoteana sana, hadi mmeshafanya maongezi na Membe awasaidie kugombea, hali mbaya sana naona huko kwenu
wewe ndiye uliyemwita dhaifu labda kabla hujaunga mkono juhudi!
 


Kwa hiyo hoja yako hasa ni ipi? Je, ni JK vs Magufuli au? Isitoshe liko wapi kama JK na CCM ndiyo walioiingiza TZ yetu middle income economy?
 
wewe ndiye uliyemwita dhaifu labda kabla hujaunga mkono juhudi!

Mimi? eeehhh vipi tena haaa, ukweli mm nilikuwa kundi Lowassa enzi hizo akiwa CCM, ila baada ya kwenda upinzani tulirudi kwa Magufuli 100% na sikuwahi kuwa upinzani hata siku moja, nilikuwa CCM but team Lowassa, baada ya Mh. Lowassa ku depart CCM tulirudi kwa Magufuli kwa moyo wooote, na hadi leo na milele tuko CCM, hatukuunga juhudi, juhudi zimetuka CCM, sisi tuko tunapiga kazi, tuko CCM milele.. Labda unachanganya mafaili.. Ebu retrieve your data vema😂 Magufuli ndio kiongozi wetu 100%..
 


Una pengo kubwa sana kwenye uelewa wa haya mambo na sijui hata nianzie wapi, ...
 
chini ya JPM it's a downward trajectory economically.

we need an alternative come October... now or we're doomed for good!


Sawa, basi labda CCM watatufutia JK mwingine, ...
 
Ukiwa mhariri wa chombo cha habari sasa hivi unajiuliza kama unaweza kuripoti hii. Wakati huo huo umepeleka timu Dodoma kuripoti mapambio, au kama wewe ni clouds media, hata mmiliki anashiriki kwenye kuimba.
 
Kwa hiyo hoja yako hasa ni ipi? Je JK vs Magufuli au?

Awamu hii ya Sasa Ni maendeleo ya vitu na sio watu...
Watu watakamuliwa kupitia Kodi,ushuru,Faini na tozo mablimbali na mapato yanaenda kujenga miradi isiyo na faida kwa haraka...

Watu wawezeshwe mitaji, fursa, kupunguza mfumuko wa Bei na serikali kuongeza mzunguko wa pesa ktk jamii..
 
Umaskini uliongezeka kwa 2m vipi kuhusu population kuongezeka kutoka 2012 hadi 2018
 


Kuna uchaguzi Oktoba, chagua atayekufanyia hayo, ...
 
Una pengo kubwa sana kwenye uelewa wa haya mambo na sijui hata nianzie wapi, ...

Kataa hoja kwa hoja na mifano... Sio kuanza kunishushia heshima ya uelewa...

Khs kuongezeka idadi hiyo hoja hata WB wamewawekea ili mjitafakari na sababu zingine... Soma #73
 
Umaskini uliongezeka kwa 2m vipi kuhusu population kuongezeka kutoka 2012 hadi 2018
kati ya 2007 na 2012 population iliongezeka sana tu but JK alipunguza idadi ya masikini kwa 1M.
huyu mwingine (mrithi wake) kaja katuongezea masikini 2M!

October tunataka kiongozi anayepunguza umasikini siyo anayeongeza!!
 
And we are here praising and worship kwamba tupo uchumi wa kati

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…