World Bank: Mwaka 2012 kulikuwa na Watanzania masikini milioni 12; hadi kufikia mwaka 2018 waliongezeka masikini milioni 2!



You have to put in balance between material developments vis a vis human developments.

eg, Individual Poverty vis a vis stiegler gorge.
 
Hizi ndo habari unapenda siyo?

Na hapo meno yote nje baada ya kuokoteleza vijihabari vyako huko uchochoroni.
Unaeza nitajia hao watu wanne na hao watatu kwa majina/familia?
Lastly; Who care!!
 
Haa haa! Huo unaitwa mwendo wa kisengelenyuma...kuelekea uchumi wa kati! Tanzania ya viwanda.

Everyday is Saturday.......................... 😎
 
Hizi ndo habari unapenda siyo?

Na hapo meno yote nje baada ya kuokoteleza vijihabari vyako huko uchochoroni.
Unaeza nitajia hao watu wanne na hao watatu kwa majina/familia?
Lastly; Who care!!
😂😂😂😂 Kazi IPO.unataka utajiwe majina 😂😂😂anayo magufuli Kyle muulize
 
Ni kweli,kabisa bila hata kupepesa macho,watu wanasema kama hukujenga kipindi cha kikweta,huji kujenga tena
 
Sifa zote apewe Magufuli rais mzalendo
 
Hizi ndo habari unapenda siyo?

Na hapo meno yote nje baada ya kuokoteleza vijihabari vyako huko uchochoroni.
Unaeza nitajia hao watu wanne na hao watatu kwa majina/familia?
Lastly; Who care!!
😂
 
Hizi ndo habari unapenda siyo?

Na hapo meno yote nje baada ya kuokoteleza vijihabari vyako huko uchochoroni.
Unaeza nitajia hao watu wanne na hao watatu kwa majina/familia?
Lastly; Who care!!
Mkuu hivi ile habari ya Tanzania kuingia uchumi wa kati iliokotwa wapi? Nayo uliitemea povu la namna hii?
 
Jpm ajitafakari kama ana sifa za kuendelea kuonhoza nchi yetu
 
Nimekusoma. Aise inahitajika tafakuri makini,
Landson Tz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…