World Bank Report: Tanzania among bottom in EAC na SADC katika mazingira ya biashara

World Bank Report: Tanzania among bottom in EAC na SADC katika mazingira ya biashara

Hio Nchi ya Asali na Maziwa ndio Omba Omba wake wamejaa Kenya wakinyoosha bijibakuli😉
wakenya mnachekesha sana yahani ombaomba wa tz wapo kenya kwa mahana hiyo ombaomba waliopo tz na sisi tuseme ni wakenya? ngoja ni kwambie hao ombaomba unaowaona huko kenya ni wakenya wenzako kabisa sema hua mnajitoa tu akili, yahani aingii akilini mtu atoke kwenye nchi ya maziwa na asali halafu akawe ombaomba kenya, nchi ambayo raia wake wanakufa na njaa na wengine wamefikia hatua ya kupika mawe
 
2019 na 2020 ziko wazi., check website ya world bank kisha unionyeshe hio yenyu mlitoa wapi?[emoji23][emoji23]CCM campaign propaganda.
Tupo 2019...??[emoji848][emoji848][emoji848]
 
Either ni serikali ya Tanzania ama a CCM sycophant or a blind patriot alikua anajaribu kupumbaza raiya eti CCM imetimiza yale walisema hapa👇👇 baada ya aibu, kwa ku post kwa mtandao ripoti bandia. Nashuku ni campaign propaganda.


Tanzanian government explains lower ranking in ease of doing business rep

Survey+pic.jpg


In Summary
According to the DB2019 published by the World Bank on Wednesday, Tanzania’s score fell to 53.63/100 from 54.04/100 attained during the 2018 edition.
By Mnaku Mbani @mnaku28

Full news report👇👇👇

Tanzanian government explains lower ranking in ease of doing
 
Mumeshindwa kujibu kwa kuleta link ya World Bank, repoti zao ziko wazi kwa mtandao, 2019 tunazijua kabla ya corona., hii yenyu ya uchwara chwara idhibitishe., haipo mahali[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti ease of doing business East Africa, Rwanda muwaache wapi?[emoji23][emoji23]
Hiyo report ilokupa mshawasha mpaka unafungua thread ingine ni report post corona, report ya 2020. Sasa ww unaleta reports za 2019 kabla ya corona
 
Hiyo report ilokupa mshawasha mpaka unafungua thread ingine ni report post corona, report ya 2020. Sasa ww unaleta reports za 2019 kabla ya corona
Mkuu Naomba link ya WB kuhusu hio report.

NB:Link ya WB na sio ya hapa JF au gazeti.
 
Hawa kwa sasa waache tu hivyo, kuthubutu kuwasaidia ni kama kujaribu kumsaidia huyu hapa bila kutiwa kucha....

_85845182_rajasthan-leopard2.jpg
😀 😀 .. i have never seen a better description .... funny n factual
 
wakenya mnachekesha sana yahani ombaomba wa tz wapo kenya kwa mahana hiyo ombaomba waliopo tz na sisi tuseme ni wakenya? ngoja ni kwambie hao ombaomba unaowaona huko kenya ni wakenya wenzako kabisa sema hua mnajitoa tu akili, yahani aingii akilini mtu atoke kwenye nchi ya maziwa na asali halafu akawe ombaomba kenya, nchi ambayo raia wake wanakufa na njaa na wengine wamefikia hatua ya kupika mawe
Ok! So Kuna omba omba ndani ya Nchi ya Asali na maziwa 😂😂😂
 
Hiyo report ilokupa mshawasha mpaka unafungua thread ingine ni report post corona, report ya 2020. Sasa ww unaleta reports za 2019 kabla ya corona
Wameandika data ni ya from 2019., who is stupid enough to carry out a research during corona? Not the world bank[emoji23][emoji23]itakua ni CCM as my first suspect musimu wa kura Tz. Biashara gani za maana zilikua zinaendelea wakati wa corona duniani?, unasema ni post corona[emoji23][emoji23][emoji23], Airlines na airports zilikua zimefungwa., Tanzania mna ugonjwa gani jameni?[emoji23][emoji23][emoji23]
Cant you see it is a blatant lie!., yaani uwongo wazi wazi[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Team domo vs team hapa kazi tu
Kweli bro leo umeongea ukweli kabisa 😂😂😂
Team Domo(Tanzagiza) - GDP $63b
Team hapa kazi tu(Kunyaland) - GDP $100b
 
Back
Top Bottom