Wana jf
Hiki ndio kishindo kikuu cha awamu ya tano kufika uchumi wa kati (middle income country ) M.I.C .
Ambapo benki ya dunia itaitangaza Tanzania kuwa inchi ya uchumi wa kati kwa kufikia GDI per capital ya U.S. $1026-12476
So kuanzia siku hiyo ule msemo wa sisi sio maskini wa rais magufuli utakuwa bayana
USSRView attachment 1489538
Wana jf
Hiki ndio kishindo kikuu cha awamu ya tano kufika uchumi wa kati (middle income country ) M.I.C .
Ambapo benki ya dunia itaitangaza Tanzania kuwa inchi ya uchumi wa kati kwa kufikia GDI per capital ya U.S. $1026-12476
So kuanzia siku hiyo ule msemo wa sisi sio maskini wa rais magufuli utakuwa bayana
USSRView attachment 1489538
Chadema wamechukia na kununa.Wana jf
Hiki ndio kishindo kikuu cha awamu ya tano kufika uchumi wa kati (middle income country ) M.I.C .
Ambapo benki ya dunia itaitangaza Tanzania kuwa inchi ya uchumi wa kati kwa kufikia GDI per capital ya U.S. $1026-12476
So kuanzia siku hiyo ule msemo wa sisi sio maskini wa rais magufuli utakuwa bayana
USSRView attachment 1489538
Kenya ni middle income mkuu ila still wanapewa misaada sana! Pengine kuliko sisi.That comes with a price tag. Misaada itapungua. Unafikiri kwa nini China mpaka leo hii haitaki kuitwa nchi iliyoelendelea?