World Bank upbeat on Kenya's economy

World Bank upbeat on Kenya's economy

Great people and great location; I do agree with those two factors. Wengi tumefanikiwa kufika kenya kwa kweli ukiangalia the way wanavyoendesha mambo yao utakubaliana na huyo mchumi aliyezungumza sababu hizo. Mimi binafsi nawakubali sana wakenya kwani hakuna utani linapokuja suala la maendeleo ya nchi yao, ndio wana matatizo yao lakini kile ambacho wanakifanya kwa kweli unaona kwamba kuna uwajibikaji. Pata nafasi ya kutembelea Thika wanapojenga mji wao mpya wa viwanda its wonderful.jamaa wanapiga hatua sana.
 
Wabongo mtaendelea kulumbana mpaka mchoke, maneno mengi, ahadi nyingi hakuna la maana.

Kweli mjnga ndiye aliwae, madini kuchangia 2.6% ya pato la taifa! Hii nchi ni muflis!
 
Back
Top Bottom