Vipi WB juzi imetoa hela ndefu kwa Sector Mingi Tz tena kwa Riba ya karibu bure?
Msidanganywe wadau, WB inafahamu kwamba Tz ni Nchi ambayo ina uwezo mkubwa wa kuchukua Mikopo kwa riba ya juu lakini takwimu zake zinafanywa ukarabati zikae za ki-LDC ili mikopo iwe garama ya chini kwa walipa kodi.
TZS pia hupigwa ukarabati iwe chini kwa dollar kama vile china na Japan hufanya kwao..Maana ya hii niku promote exports
Hakuna vile nchi ambayo ina FDI ya juu kabisa na Pesa ya utalii ni sawa na ya EAC combined inaweza kuwa na fedha kama madafu..
UJAJA ni muhimu kwa biashara, ukitaka kufaulu lazima ujifanye wewe bado maskini ili watu wasi take advatage yako
Fake Statistics