Uchaguzi 2020 World Bank yapitisha Mkopo wa Zaidi ya Trillion 1 Uliopingwa na Wanasiasa pamoja na Wanaharakati

Makamanda watakua wanamuonea wivu Mh.Zitto Kabwe maana wao walishindwa kumtetea mtoto wa kike spate elimu .Wakati mwingine Mh.Zitto anafanya mambo mazito kuliko wote waliopo Ikulu aisee.
Leo makamanda uchwara mtatapatapa siku nzima, duh.
 
Mzee USD 500M ni sawa na shingapi kwa pesa ya madafu?
 
Tusishangilie mkopo ili hali corona tayari yupo ndani, sidhani kama tutabaki na pesa mkononi ili hali Watu wanahitaji matibabu.

Tuombe Mungu na Corona apunguze makali yake.
 
hakuna kinachowaumiza MATAGA kukil kwamba jiwe kaufyata
 
Post za hii siku ya leo ni lazima kuwa nazo makini [emoji2]

Jr[emoji769]
 
Lakini niliwai kufundishwa kua WB ni wanyonyaji,mabeberu na mawakala wa ukoloni mamboleo(Neocolonialism) mfumo ambao unatutesa asa bara la Afrika.Sasa nimepata mshangao kuona vijana wengi mnalishangilia ili!
 
Mkishanasaga huwa mnahangaika sana... ALiyesema wazi ni Zitto, kama kuna mwingine aliesema mafichoni hata wewe utamjuaje? KWENYE UKWELI MSEME

Acha kua popoma wewe,
Sio uzito wa kabwenye ndio pekee aliyesema wazi ,N.G.O kibao ziliseka wazi..

Halafu sio kwamba eti ukiona hivyo kwwnye vitaarifa ndio ujue tayari imeasha implementiwa ,

Jiongeze wewe Kabwenyenye,
Unayetumia ID nyingine
 
Acha hasira na chuki dogo,! Hivi wakati Zitto anazunguka huko duniani si mlikuwa manfurahia sana?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Poor you! Mbona wakati huo mkopo unazuiwa mlikuwa mnafurahia mkisema JPM anakomolewa?


Sent using Jamii Forums mobile app
Tena waliokua wanashangilia wana akili sana..Maana hii ingetusaidia sana kuanza kufikiria sana asa katika kutumia raslimali zetu ili tutoe huduma ya Elimu.Kushangilia ili la kupata pesa zenye masharti ya WB ni kuuza Uhuru wetu.
 
Mzee USD 500M ni sawa na shingapi kwa pesa ya madafu?
Ah! Unajua niliandika posts 2 tofauti, moja nika-edit ndo hiyo ya hiyo ya 500M, nikaiunganisha na post yenye maelezo hapo chini bila kujua nilihamisha kila kitu from original post
 
Acha hasira na chuki dogo,! Hivi wakati Zitto anazunguka huko duniani si mlikuwa manfurahia sana?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi kwanini nyie watu kila anayepinga mipango ya yule mzee mnaona ana chuki?! Acheni ushamba nyinyi... mtakuwa watu wa ajabu sana kama mnataraja kila mmoja ampigie makofi hata kwa mambo ya hovyo!!

Btw, NDIYO tulikuwa tunafurahia kwa sababu mipango ya JPM na CCM yake ni ya ubaguzi, na leo hapo WB wametoa mkopo kwa kuangalia matakwa ya akina Zitto na sio matakwa ya JPM na Utawala wake!
 
Nisiku mbaya kwa watesi wa Magufuli nahisi wanahisi wamekumbwa na korona kumbe wivu unawamaliza. Hongera Mh Rais at last tumeona nuru
 
Wachawi mpooooooo! Tumeupa mkopo wetu, na hata ndugu zenu watanufaika na mkopo huu! Du, ila ninyi wachawi hamjitambui kabisa kah!
Giza halijawahi kuishinda nuru, labda nuru isiwepo tu!
 
Hivi wanaccm nani kawaroga?? Serikali imekubali masharti ya Zitto kwa asilimia 100
Na imepiga goti mbele ya wanaharakati
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Si mlisema hizo hela zisitolewa maana zinafadhili ukandamizaji kwa wapinzani? Kiko wapi sasa?

Alafu hiyo hoja ya wanafunzi, hivi kwa akili yako Tanzania hii hata kabla ya rais kutoa ile kauli kulikuwa na mtu anazaa kisha anarudi darasani?

Ninacho jua wengi baada ya kuzaa wanaa mtaani baada ya muda anajitafutia shule ya kujiendeleza tena shule za private, maana za uma muda unakuwa umeshamtupa mkono.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…