Mpita Njia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 6,997
- 1,172
Hahaha Preta, naona hutoendelea ku-declare interest kwa team publicly maana Germany nao wamekuangushani kweli lolote linaweza kutokea.....mambo hayatabiriki siku hizi
Hahaha Preta, naona hutoendelea ku-declare interest kwa team publicly maana Germany nao wamekuangusha
i dont like england,ningependa wafungwe lakini waalgeria hawana uwezo huo,watachapwa kama watoto
Mie namshabikia atakayeshinda kwenye mechi hii, ha ha..
Hapa England anashinda tuuuhilo ndio lililobaki...inakuwa kama vuvuzela zimekuja na mabadiliko....timu bora zote utazani zimelogwa
YEAP! Iwe ni fundisho kwao, kuna mataifa yashajiona yenyewe ndiyo miamba ya soka duniani tuuu... Inauma lakini wacha wafundishwe kuwa ni ulimwengu mwingine huuNapenda kuona challenge kwa vigogo wa soka
I predict a tough game for the British side, possibly Algeria to beat England
hilo ndio lililobaki...inakuwa kama vuvuzela zimekuja na mabadiliko....timu bora zote utazani zimelogwa