World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

_48113552_clint_getty.jpg



_48114789_bradley_getty.jpg
 
Algeria inabidi ijiangalie na Oscar winning simulations za akina Gerard.
 
Mpira kama ungekuwa unachezwa kwenye vyombo vya habari England wangekuwa wanaongoza 4-0 mpaka dakika hii..Lakini ktk hali halisi hadi dakika hii hawana shot on goal
 
Algeria wanaanza kuchoka....concentration inashuka.....
 
Hawa jamaa waliwafunga Egypt hivi hivi... Si wa kudharau pia
algeria wanakiputa sana wakicheza mechi na waafrica ,kwa mfano hio na Egypt walipiga mpira kinoma ndio maana nilikuwa nawategemea huku kwenye world cup.Sasa world ndio hii naona vitu viwili tofauti au mambo ya migogoro kwenye timu yao iliokuwa inaendelea ime wa-cost.
 
Back
Top Bottom