World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)


kwa mtindo watashinda hata kamoja
 
algeria na north africans kwa ujumla wakikutana na opposition yoyote nje ya africa at least you can see soccer being played,but black africa ndio kwenye matatizo mpira wanaocheza ni poor just not good on the eye,physical kwa sana but no substance.Do we need to learn how soccer is played from the north of the SAHARA?
 
Hawa England nao wachovu tu, mwaka huu sijui vipi~wale wazuri wote tunawajua wanaonekana vibonde tu!.
 
Toa Lampard huyo mechi ya pili ana ruka ruka tu hamna cha maana mlete Joe Cole afanye mambo.


Toa Heskey mlete Peter Crouch kwani waarabu wala hawachezi kwa kutumia miguvu umuhitaji Heskey mbele pale.
 
pamoja mkuu, hawa jamaa wakishinda ,media zao zinakera kuliko mibubuzela! lakini hawa algeria nao viwete wa nguvu. acha wakamilishe ratiba tu

Mkuu kama kuna timu siipendi kwenye michuano hii basi ni england.Kama watapigwa bao,basi leo mabwaksiii sana na toto lakilatino...
 
ningeshauri next friendly game(taifa stars) tucheze na england. nina uhakika tumewakosa basi ni droo.
 
england commercialwise inabidi waendelee kuwepo,wakitolewa mapema wapenzi 50,000 hao wanaondoka na £ zao,it will be a commercial nightmare for the authorities
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…