World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

_48116736_goal.jpg


Tehe tehe no comment hapo utadhan wapo kwenye daladala wameshika Bomba!!
 
jamani hata CAPPELLO anamakosa fulani,hebu fikiria
1.Rooney kacheza season nzima lone striker kwenye 4-3-3 formation,kafunga over 30goals,leo acheze na Heskey kusubiria ndege
2.Gerrald kacheza season nzima kama SECOND STRIKER/ATTACKING MIDFIELDER leo anacheza left winger
3.Lampard kacheza season nzima free role hana majukumu kwenye 4-3-3,leo unamuweka playmaker kwenye 4-4-2

na hawa ndio key players ukiwapanga vizuri timu nzima ina tick-tick kama rolex.........
Kingine Cappello yuko kama headmaster ndio maana wachezaji wana tension especially ROONEY,wanamkataza hata kukaba kwa nguvu na nguvu ndio msingi wake,wachezaji hawajui nani anacheza hadi 2hrs kabla ya game wanakuwa hawako mentally prepared...........
 
capellooooooooooooo,,,,,gud football.sasa huyu beckham kazi yake ndo nini katika hii timu...?
 
_48116664_rooney_pa.jpg

Dogo leo kabananishwa kweli mpalka atakakuleta Wrestling hapa

sasa huyu beckham kazi yake ndo nini katika hii timu...?
Amekuja Kutalii Viwanja vya Sauzi! unategemea afanye kazi gani kwenye Benchi pale zaidi ya kuangalia Upuuzi wa wabinafsi Gerald na Lampard
 
Hawa England nao wachovu tu, mwaka huu sijui vipi~wale wazuri wote tunawajua wanaonekana vibonde tu!.

Nafikiri mpira huu wa Jabulani utakuwa na matatizo. Hahahaha natania tu maana naona watu washaanza kunipangia points
 
yani England siyo eeh?!..BTW,hizi timu zinanichanganya yani Slovakia na Slovenia pia kwa mbali Serbia..
Kweli England tuwaalike mechi ya kirafiki kama TFF watafika dau!..mana wepesi hata wakitufunga haitauma sana kama Brazil..

Ndio hao vibonde england lazima wabamizwe na slovenia wiki lijalo
 
jamani hata CAPPELLO anamakosa fulani,hebu fikiria
1.Rooney kacheza season nzima lone striker kwenye 4-3-3 formation,kafunga over 30goals,leo acheze na Heskey kusubiria ndege
2.Gerrald kacheza season nzima kama SECOND STRIKER/ATTACKING MIDFIELDER leo anacheza left winger
3.Lampard kacheza season nzima free role hana majukumu kwenye 4-3-3,leo unamuweka playmaker kwenye 4-4-2

na hawa ndio key players ukiwapanga vizuri timu nzima ina tick-tick kama rolex.........
Kingine Cappello yuko kama headmaster ndio maana wachezaji wana tension especially ROONEY,wanamkataza hata kukaba kwa nguvu na nguvu ndio msingi wake,wachezaji hawajui nani anacheza hadi 2hrs kabla ya game wanakuwa hawako mentally prepared...........

Cappello ameshasema kuwa hiyo ndio system aliyokuwa anaitumia toka club level (naming the team 2 hours before the game) na imempatia makombe mengi tu kwa hiyo isiwe kisingizio. England are just not good enough.

Hivi kila mtu akitaka kucheza kama anavyocheza kwenye club yake si itakuwa vurugu? Mbona walipokuwa wanashinda kwenye qualification games mlikuwa hamsemi haya?

Wakiacha madharau yao labda watabadilika.
 
Toa Lampard huyo mechi ya pili ana ruka ruka tu hamna cha maana mlete Joe Cole afanye mambo.


Toa Heskey mlete Peter Crouch kwani waarabu wala hawachezi kwa kutumia miguvu umuhitaji Heskey mbele pale.

Hahahaha! Acha unazi kaka! Sio Lamps peke yake anayechemsha, ni team nzima ya England ni mbovu, labda James kafanya vizuri kwa kurecord clean sheet lakini hakuwa tested that much. Ebu niambie wewe nani kacheza vizuri kwenye hiyo timu ya England? In my view Rooney was the worst of the batch.
 
Toa Lampard huyo mechi ya pili ana ruka ruka tu hamna cha maana mlete Joe Cole afanye mambo.


Toa Heskey mlete Peter Crouch kwani waarabu wala hawachezi kwa kutumia miguvu umuhitaji Heskey mbele pale.

Cappello ameshasema kuwa hiyo ndio system aliyokuwa anaitumia toka club level (naming the team 2 hours before the game) na imempatia makombe mengi tu kwa hiyo isiwe kisingizio. England are just not good enough.

Hivi kila mtu akitaka kucheza kama anavyocheza kwenye club yake si itakuwa vurugu? Mbona walipokuwa wanashinda kwenye qualification games mlikuwa hamsemi haya?

Wakiacha madharau yao labda watabadilika.

Sio wakiacha madharau watabadilika, sidhani kama wanadharau hao jamaa, ukweli ni kwamba uwezo wao umefikia hapo, sio wazuri kama tunavyoambiwa na English media. Kwenye qualifying walipangiwa vibonde ndio maana wakapeta, sasa shughuli yenyewe imefika mapovu yawatoka....ningefurahi zaidi kama Algeria wangeshinda. Wamenunua vuvuzela kwa kasi hapa, sijui watazipeleka wapi?....labda Stamford Bridge, Emirates, White Hart Lane, Upton Park, Loftus Road, Craven Cottage....etc.
 
Unajua Waingereza wanahusudu majina sana , wanapata confidence tu akiwepo Beckham pale, japo hana kazi yoyote zaidi ya kuwa "confidence booster"
 
Hahahaha! Acha unazi kaka! Sio Lamps peke yake anayechemsha, ni team nzima ya England ni mbovu, labda James kafanya vizuri kwa kurecord clean sheet lakini hakuwa tested that much. Ebu niambie wewe nani kacheza vizuri kwenye hiyo timu ya England? In my view Rooney was the worst of the batch.

Unaposoma tu hapo kwenye mkolezo mwekundu utakuwa tayari na jibu.
 
Lile refa kutoka Mali lililoharibu mechi slovenia/usa liko underfire..

JOHANNESBURG – The referee who disallowed a potential game-winning goal for the United States will face an expedited performance review from FIFA and is likely to be excluded from the rest of the World Cup, according to a FIFA source.
 
Lile refa kutoka Mali lililoharibu mechi slovenia/usa liko underfire..

JOHANNESBURG – The referee who disallowed a potential game-winning goal for the United States will face an expedited performance review from FIFA and is likely to be excluded from the rest of the World Cup, according to a FIFA source.
Huyo refa choo sana, wampaishe tu arudi kwao Mali~sijui lilikuwa limetumwa?.
 
Akheri mie nililala, sikupoteza dk 45 za maisha yangu kuangalia stalemate.
 
Akheri mie nililala, sikupoteza dk 45 za maisha yangu kuangalia stalemate.

Same here Mpemba...........Niliona bora nilale tu maana zile dakika 45 za kwanza zilikuwa ni madudu tu................Poor England
 
hili kundi wanaodeserve kuendelea ni Slovenia na USA
 
England wana wachezaji wa majina tu lakini hawana timu ya taifa ligi yao ni nzuri kwa vile inajengwa na wachezaji wengi wa nje. Kwenye mpira England wanaponzwa na pesa zao, timu za ndani zinashindwa kuwajenga vijana wa ndani zinakimbilia kushindana nani ana pesa kumzidi mwingine na kuishia kununua wachezaji wa bei kubwa kutoka nje na kusahau wa ndani, matokeo yake siku ya mechi za kimataifa wachezaji wazuri na wenye uzoefu wanaondoka kurudi kwenye nchi zao.
 
Back
Top Bottom