Albedo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 5,558
- 1,456
Game ilikuwa Ngumu sana Thankx to Heinze kwa Goli la Mapema la sivyo mambo yangekuwa Mengine, Armando anatakiwa kufanya marekebisho kwenye Finishing, Higuain amekosa goli tatu za wazi kabisa!
Shukrani zimwendee Enyeama ameokoa goli nyingi sana na Messi na Gonzalo Higuain
By the way am the Argies fan so not bad for a starting game
Shukrani zimwendee Enyeama ameokoa goli nyingi sana na Messi na Gonzalo Higuain
By the way am the Argies fan so not bad for a starting game