World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

mkuu nilichomoka kidogo lakini post yangu ya mwanzo si uliona ? leo klorokwini zako zimefanya kazi naona.hongera sana mzee wa ungerdogs.

Ghana tuko pamoja ,kombe liko open sana hili.
niliona post imejaa uzalendo wa "the gooners" , dah aisee GHANA wakishinda leo usiku itakuwa bomba sana! halaf hiki kichochoro cha GHANA kama watakaza buti ,kinapitika mpaka fainali. huyu mdachi anafungika sana tu.
 
Hayapita kabisa, Breaking News ha ha..
Anyway, Ghana kila la kheri washinde...mpira nao kutabirika ni ngumu sana mkuu!!..Tuwape sapoti kimawazo🙂
GHANA wanashinda (hii haina mjadala kabisa, hata FIFA na mzee DUNGA wanaelewa hilo)
 
......Ghana kwa leo haitabiriki, ila nashabikia Ghana hadi nione mwisho wao.
 
barca atacheza,maana xabi alonso yupo real madrid,halafu yahya toure kaenda man city,yule keita benchi,hapana cesc fabregas barca namba anayo,timu ya taifa tu ndio 7bu ya alonso anakaa benchi,ila ni super sub ya torres' 'el nino'
 
Amen na iwe mkuu, mzee ka-DUNGWA hana hamu sasa,bye Brazil..Nitamiss sura ya Kaka!!Robinho ni mkorofi,aii..

Nilikuwa mshabiki wa Brazil ila nilipoona hawa vijana wanaanza kuwa wakorofi nikaamua kuachana nao. Nimefurahi kufungwa kwao.
 
Haya mambo ya unazi nimeyaacha tangia leo, naona naweza matatizo ya kujitakia hapa~am done with ushabiki!.
 
Nilikuwa mshabiki wa Brazil ila nilipoona hawa vijana wanaanza kuwa wakorofi nikaamua kuachana nao. Nimefurahi kufungwa kwao.

Sijui wali-panic au la ila hawakuwa na game la nidhamu leo..Tunahitaji mabadiliko,Brazil ipumzike sasa..
 
UPDATES:

25min, Ghana 0 - 0 Uruguay
30min, Ghana 0 - 0 Uruguay
40min, Ghana 0 - 0 Uruguay
45min, Ghana 0 - 0 Uruguay
45 +2 min, Ghana 1 - 0 Uruguay (MUNTARI)

2nd Half starts:
46min, Ghana 1 - 0 Uruguay
50min, Ghana 1 - 0 Uruguay
54min, Ghana 1 - 1 Uruguay (FORLAN)
70min, Ghana 1 - 1 Uruguay
80min, Ghana 1 - 1 Uruguay
85min, Ghana 1 - 1 Uruguay
90min, Ghana 1 - 1 Uruguay
90+2min, Ghana 1 - 1 Uruguay
Full Time: Ghana 1 - 1 Uruguay (going for 30min Extra Time)
6min (ET), Ghana 1 - 1 Uruguay
14min (ET), Ghana 1 - 1 Uruguay

2nd Half of ET starts:

15min (ET), Ghana 1 - 1 Uruguay
20min (ET), Ghana 1 - 1 Uruguay
26min (ET), Ghana 1 - 1 Uruguay
29min (ET), Ghana 1 - 1 Uruguay
120min (FULL TIME), Ghana 1 - 1 Uruguay

Now it's penalty shoot out!

GHANA IS OUT, beaten 4 penalties agains 2

:horn::horn::horn::horn::horn::horn::horn::horn::horn:

========================
Haya wadau,

bado kama robo saa hivi Ghana waingia ulingoni na Uruguay. Mashabiki wa Brazil ugueni pole.

karibuni humu sasa tuone mtanage unaishia wapi.

Go Ghana Go!

Ghana







  • 22 Kingson
  • 02 Sarpei
  • 04 Pantsil
  • 05 John Mensah Captain
  • 07 Inkoom
  • 15 Vorsah
  • 06 Annan
  • 11 Muntari
  • 23 Boateng
  • 03 Gyan
  • 21 Asamoah
Uruguay






  • 01 Muslera
  • 02 Lugano (Captain)
  • 04 Fucile
  • 06 Victorino
  • 16 Pereira
  • 15 Perez
  • 17 Arevalo Rios
  • 20 Alvaro Fernandez
  • 07 Cavani
  • 09 Suarez
  • 10 Forlan
 
Haya mambo ya unazi nimeyaacha tangia leo, naona naweza matatizo ya kujitakia hapa~am done with ushabiki!.

Yego baba?kutiki? ha ha..bora uwe mshabiki vuguvugu tu mkuu..ha ha, leo wachezaji wa Brazil wataota hiyo mechi..du!
 
Yego baba?kutiki? ha ha..bora uwe mshabiki vuguvugu tu mkuu..ha ha, leo wachezaji wa Brazil wataota hiyo mechi..du!
Belinda Wasu, yaani hapa nilipo hata hiyo hamu ya mechi sijui ya Ghana na nani vile!. Yaani kwishinee kabisa.
 
hivi hivyo viatu havikuumizi........urudi baadae tushangilie ghana........

Ni mazoezi hayo mana jioni nite nina mtoko,so nataka nivae heels za kufa mtu..ha ha.Tena Ghana wakishinda ndo usiseme,raha sana itakuwa nitakesha nahisi..
 
Belinda Wasu, yaani hapa nilipo hata hiyo hamu ya mechi sijui ya Ghana na nani vile!. Yaani kwishinee kabisa.

Yani kumbe wewe ulikuwa Brazil damu?!..jamani,Brazil wetu wa JF yuko wapi?mana nae sipati hali aliyonayo..Tusubirie hiyo mechi,hata wakishindwa Ghana wana record mpya tayari japo wakishinda ni powa sana!!
 
Halafu jezi ya Brazil ya leo sikuipenda kabisa!..kwanini walivyaa blu,agrr!!
 
Yani kumbe wewe ulikuwa Brazil damu?!..jamani,Brazil wetu wa JF yuko wapi?mana nae sipati hali aliyonayo..Tusubirie hiyo mechi,hata wakishindwa Ghana wana record mpya tayari japo wakishinda ni powa sana!!
Yaani sasa hivi ah, I hate WC, ngoja nisubiri fainali ya Wimbledon kesho, Serena Williams anacheza dhidi ya mpinzani mmoja hivi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…