Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,205
Hizi updates za jf kiboko sana mtu unaweza kupata ajali hiv hivi lol.asante sana wakuu .
mie naona siku hizi niwe na bet opposite lol.
mie naona siku hizi niwe na bet opposite lol.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
litajuta kutokumuweka Ronaldinho,....limeniuzi
hehehe jaribu kushabikia timu ninazoshabikia mimi ili upate nafuu, hapa kitaa wananiita "eusobio" wengine wananiita "karl heinz rumaniga" kwa jinsi ninavyolichambua weldi kapu.kwa 7bu umenibembeleza sana basi nitashangilia Argentina, lakini na wao wakivurunda.....nitakuambia ni nini kitatokea....kombe ni moja kwa moja Buenos Aires
mkuu naona ulitupotea ghafla? hehehee mzee wenger bana!Hizi updates za jf kiboko sana mtu unaweza kupata ajali hiv hivi lol.asante sana wakuu .
mie naona siku hizi niwe na bet opposite lol.
karibu kwenye jukwaa.naona leo avatar yako umepewa adhabu ya kuchuchumia misumari lol.
He he he he he hee......leo na sisi underdogs tuna cha kusheherekea.....go orangee gooooo....
We acha tu Yego!
Huree Dutch, mana leo Brazil wameaibika..du!yani nimechuchumia mpaka mwisho wa game,leo hakulaliki naona..Ghana,watufurahishe pia!!
Mhhhhh! They have achieve the impossible dream. Congratulations Holland!
naona leo uliamua kutumia nguvu za sheikh yahaya umeingia tu na kuwaambia wa dutch wafunge na kweli wakafunga lol.honegra sana.
Ghana Ghana Ghana tuko pamoja.
mkuu naona ulitupotea ghafla? hehehee mzee wenger bana!
haya jamani ndio yeshapita .....gangeni yajayo wapenzi wa brazil....
ghana inafunga au inafungwa?
haya jamani ndio yeshapita .....gangeni yajayo wapenzi wa brazil....
ghana inafunga au inafungwa?
AW acha tu,naona kijana wako V.Persie atakuwa na raha sana!..Sneijder ni nomaa!!..!