World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

Sasa tujiandae kumuona Maradona akikimbia uchi ktk mitaa ya Buenos Aires. Njia imeshafunguliwa.
 
kwa heri Brazil...mechi ya Uruguay Ghana wala siangalii, jinsi navyo taka Ghana waende nusu fainali,nikiwaona wanatolewa live naweza kupata presha...nawaombea Ghana the best, naenda kulala
 
Sasa tujiandae kumuona Maradona akikimbia uchi ktk mitaa ya Buenos Aires. Njia imeshafunguliwa.

Naam jamaa alishaahidi lakini kesho nina wasiwasi Wajerumani watampiga bao.
 
kwa kweli bahati mbaya sina timu nyingine, kwangu mimi leo ndio fainali na nimekubali matokea WC imeisha
ina maana umeamua kulisaliti chama lako la PARAGUAY ? unajua linacheza kesho na SPAIN na wanahitaji uwapulizie vuvuzela wapate moyo.
 
hii WC haitanifurahisha kama kesho iwapo ujerumani itaifunga argentine................
 
Shida ilianza hapa....

b796bf4fd5bea7bc91f51747034ad679-getty-98694125bd065_netherlands_v.jpg



1f24d37b1b2640fba442dc229ca9e6b3-getty-98694125bd064_netherlands_v.jpg



77a5e26a3f59fbfd6e0e412abdc5facf-getty-98694125bd068_netherlands_v.jpg



b953a2eab5062712749af3bf77a61d74-getty-98694125bd066_netherlands_v.jpg
 
seriously ..........brazil inawapenzi wengi mpaka watu waliozaliwa kwenye 70's hivi............ukivuka mshare wa 70 ukakanyaga 80, watu wanaisepa hiyo timu.

it stink of old generation..............hehehe

Huu utafiti uliufanya lini Gaijin na ulitumia sample kutoka mikoa mingapi ya Tanzania, au nchi ngapi duniani? Nauliza tu lol!
 
Mie nashangaa maana Brazil ndiyo timu ina wapenzi wengi duniani ikiwemo Tanzania kuliko nchi nyingine yoyote ile duniani, lakini cha kushangaza hapa wenye furaha ya kufungwa kwa Brazil ni wengi mno kuliko inavyostahili. Je, kuna wengine wanangoja kipyenga cha mwisho ili waanze kushangilia timu ambayo ni mshindi?

Mkuu, Brazil wamekuwa so monotonous, watu tunataka sasa angalau timu zingine nazo zichukue hili kombe. Usije shangaa mwaka huu likaja Afrika, tehetehetehetehe
 
Mkuu, Brazil wamekuwa so monotonous, watu tunataka sasa angalau timu zingine nazo zichukue hili kombe. Usije shangaa mwaka huu likaja Afrika, tehetehetehetehe
😛ound:😛ound:😛ound:😛ound:
 
Ujerumani hawawezi kubahatika mara mbili mfululizo, their chance of winning vs Argentine is almost negligible.

Abdulhalim, usisahau kwamba mpira hudunda. Leo wengi hatukutegemea Brazil wafunge virago lakini ndiyo hao wanaondoka mikono mitupu.
 
ina maana umeamua kulisaliti chama lako la PARAGUAY ? unajua linacheza kesho na SPAIN na wanahitaji uwapulizie vuvuzela wapate moyo.

kwa 7bu umenibembeleza sana basi nitashangilia Argentina, lakini na wao wakivurunda.....nitakuambia ni nini kitatokea....kombe ni moja kwa moja Buenos Aires
 
Kwa niaba ya Familia ya Mzee Moreirra wa Brazil pmj na mwanawe mbarikiwa ambaye anafahamika kwa jina la Ronaldo de Assis Moreirra al-maaruf kama Ronaldinho Gaucho napenda kuwapongeza vijana wa Uholanzi kwa kuwavalisha Gagulo kinguvu na kuwaweka hadharani kikosi cha Brazil kikiongozwa na kocha mwendawazimu kuliko makocha woote waliopata kutokea ktk ulimwengu wa soka yaani Kocha Dunga maaruf kama Dungayembe
 
Ukiangalia jinsi Brasil walivyocheza kufananisha na Argentina au Germany, Brasil do not deserve to win the cup. Leo mechi haikuwa na kusema refa kaonea au vipi, Brasil lost it due to cockeyness yao.

I was not impressed by the Dutch either, however kwa nchi kama Brasil inayosifika, maneno ya Pele yanatimia kuwa Dunga and the team are very passive na wanacheza kwa lile bichwa kuwa wao ni nambari wani.

I do not think that these guys were really hungry to win this, similar to England, Italy or France. Matter of fact, brasil kind of fluked to reach here ukirudi kwenye mechi za awali ushindi wao si very crisp hata kama ni ushindi. Leo walikuwa na uwezo wa kutundika hata goli 6, lakini madoido mengi na wakaruhusu Chungwa kujirudi na kushinda kwa magoli ya kubahatisha!
 
Hasa Dunga maana kuna wachezaji kama sikosei wawili au watatu ambao ni wakali sana katika league yao. Mmoja nadhani ndiye mfungaji bora aliombwa sana awachague kwenye timu na wapenzi, washabiki na hata vyombo vya habari lakini akaweka ngumu. Sasa atakiona cha mtema kuni, leo Brazili kuna huzuni kubwa sana nchi nzima.

“Ronaldinho’s quality and capacity as a player is indisputable,” Dunga said. “But my decision has to be made based on reason. I have to make a decision based on what happens on the field.”

Brazilian fans and local media had also been pushing for Dunga to summon Santos young sensations Neymar and Paulo Henrique Ganso, who have been among the hottest players in Brazilian football this year.

The 18-year-old striker Neymar has dazzled fans with his speed and balls skills, being called by many as the new Robinho. The 20-year-old Ganso, or "Goose" in Portuguese, attracted attention for his maturity and ability as a playmaker. Along with Robinho, they led Santos to more than 100 goals in some 30 matches this year.

"Some players are extremely talented, but we have to test them before taking them to a World Cup," Dunga said. "Maybe they are ready to play in a World Cup now, but maybe they are not."
 
Ghana akipita leo na waka-avoid red and yellow cards, watapita kiulaini, Netherlands wamepewa kadi za njano nyingi sana. Wachezaji wa Uholanzi watakao ikosa semi final wako 9.

 
Back
Top Bottom