Ab-Titchaz
JF-Expert Member
- Jan 30, 2008
- 14,630
- 4,253
Ghana wanapata kona dakika ya 90!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nakubaliana na wewe mkuu, ngoma imekuwa ngumu n'jomba!Duuh noma sana ,bora penati sasa manake naona Ghana kama wameishiwa gesi.
Hujavamia jukwaa kweli wewe??I like football critics..mnaocheza kwenye kusadikika..mkiwaponda wachezaji na kuwakosa ati hawachezi vizuri!
Hivi nyinyi wote hapa mnajua kucheza mpira? si ajabu hata kupiga pasi moja ha muwezi!