World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

maumivu ya kichwa huanza pooole pole!!!!:A S-eek:
 
Masanilo,

What they are laking is precision, pasi zao si accurate, wantu wanasubiri mpira badala ya kufuata mpira wakipigiwa pasi, wanapoteza mipira mingi na set up zao si makini sana.
 
afadhali twende extra time kuliko kufungwa dk za injury...........
 
jamani kumbukeni hata na USA, GHANA walionekana kuchoka kabla ya extra time lkn walishinda.....mambo bado.......
 
I like football critics..mnaocheza kwenye kusadikika..mkiwaponda wachezaji na kuwakosa ati hawachezi vizuri!
Hivi nyinyi wote hapa mnajua kucheza mpira? si ajabu hata kupiga pasi moja ha muwezi!
 
hali ni ngumu na inatia kiwewe, lakini jamani tuimbee ghana na wachezaji pia watulize akili kidogo kumalizia hii gemu

bado naamini ni yetu
 
inasemekana jana wachezaji wote wa ghana walipewa ruhusa ya kwenda "ku-relax" CASINO UNTIL 1.00AM.......tutaona faida yake mwisho wa mchezo....
 
I like football critics..mnaocheza kwenye kusadikika..mkiwaponda wachezaji na kuwakosa ati hawachezi vizuri!
Hivi nyinyi wote hapa mnajua kucheza mpira? si ajabu hata kupiga pasi moja ha muwezi!
Hujavamia jukwaa kweli wewe??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…