World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

wakuu wote msisahau kuaga kuhakikisha kama mko salama popote mlipo.

Inauma kweli aisee..lakini eniwei mpira hudunda.
Kocha kakosea kumpa Mensah penanti na yule ba mdogo. Body language ya Mensah ilionyesha wazi
kua atakosa..everybody knew it.

Haya basi tukatafute nazi tukakune...damn!!!
 
Gyan ataijutia maisha ile penati aliyokosa, maana dakika zilishaisha tayari
 
tangu WC imeanza leo ndio nimeumia moyo kwa mara ya kwanza.......unaweza kukosa penati last minute ya extra time.......funga ur into semis.....choker,bottler.....choked it...bottled it.......sijui hata niseme nini.......
 
tangu WC imeanza leo ndio nimeumia moyo kwa mara ya kwanza.......unaweza kukosa penati last minute ya extra time.......funga ur into semis.....choker,bottler.....choked it...bottled it.......sijui hata niseme nini.......

naomba nikubembeleze..pole sana,mie sijaumia sana mana nilikata tamaa mwanzoni tu..sasa presha zimeisha officially!!
 
tangu WC imeanza leo ndio nimeumia moyo kwa mara ya kwanza.......unaweza kukosa penati last minute ya extra time.......funga ur into semis.....choker,bottler.....choked it...bottled it.......sijui hata niseme nini.......

Pole sana kwa kweli inaudhi sana, hii mechi ilistahili tushinde kabisa lakini kutokana na uzembe wa hali ya juu ulioonyeshwa na baadhi ya wachezaji, Afrika haina timu iliyobaki kwenye WC.
 
Gyan ataijutia maisha ile penati aliyokosa, maana dakika zilishaisha tayari

Nafikiri hii itamuathiri sana and Ghana will never have the Opportunity like this in the near future. Nafikiri FIFA wanatakiwa kubadilisha sheria iwe deliberate ball hand which was going in should be a send off and a goal awarded to the other team. No need for penalty
 
Kama kawaida yetu, waafrica tunaanza tena maombolezo ya miaka minne!.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…