hilo halina ubishi,tulishasema mapema spain kombe lake mwaka huu,watu oh mara kwa chile hatutoki,haya mara ureno ronaldo kafunikwa hajaonekana,haya oh paraguay wanapata penati spain byebye wakamsahau kuna iker casillas,mara oh 120 watu wakarudi na david villa,mara oh ujerumani ngoma ngumu wana historia ya soka ulaya wamempiga argentina ambao wengi wa watu walikuwa wanadai ndio timu bora kisa majina wangemchukua cambiasso sawa ila hakuna kitu wale na waingereza wanachonga sana tu,haya wakaja kina klose sijui open hawakuonekana lahm hakupanda kabisa mana spain inatisha,sasa robben nae atafunikwa tu,siri moja ni kuwa ukicheza na spain ambayo ni kama barca 90% ujue hatakuonyesha soka hujui,wenger,ferguson na hata mourinho wanalitambua hilo,wenger na fergie walivyofungwa na barca wote walikiri barca ni timu bora,fergia akasema xavi kiungo bora na rooney akadai iniesta,wenger alitabiri toka mapema mwa mashindano haya bingwa atakuwa spain,mourinho kadai alishukuru mechi ya inter vs barca iniesta hakuwepo,sasa spain wanataka kuvunja rekodi yao ya mechi 35 mfululizo kutofungwa wenyewe,viva spain,me ecanta espana.