World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

Huyu beki wa kushoto wa Ujerumani anatakiwa kutolewa kabla hajawaletea madhara zaidi
 
Suarez mabooo yanamchanganya anataka kulazimisha goli ha ha ha.na washabiki tulivyokuwa tuna nongwa watu wanaweza kumsafirishia boooo hizo mpaka kwenye mechi za klabu lol.
 
Suarez mabooo yanamchanganya anataka kulazimisha goli ha ha ha.na washabiki tulivyokuwa tuna nongwa watu wanaweza kumsafirishia boooo hizo mpaka kwenye mechi za klabu lol.

hicho kwenye blue ni nini mkuu?
 
haya wakuu mie nachomoka tutakutana kesho hapo city soccer mda kama huu wa hollad watakuwa wamejishika mikono kusubiri kushangilia ubingwa wao.

na octopus anapigwa mnada siku hio hio kwa kufanya utabiri mbovu kwenye mechi muhimu lol.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…