Hahahahaha... kuna jamaa yangu alikuwa analalamika vilevile! Basi inabidi FIFA waangalie nini kifanyike, ila mchakato ni mrefu sana mkuu, miaka minne ni reasonableahhhhh! Kusubiri utamu wa World Cup kwa miaka mingine minne ni muda mrefu, kuna haja ya hii duration kupunguzwa na kuwa miaka miwili.
Mhhh, leo kazi ipo!.wale washabiki wa udachi wanashauriwa kuwa na pain killer pembeni. kuna maumivu makali yanakaribia.
:first: For SPAIN.
wale washabiki wa udachi wanashauriwa kuwa na pain killer pembeni. kuna maumivu makali yanakaribia.
:first: For SPAIN.
kama upo upande wa SPAIN hakuna kazi mkuu! relax !:ranger:Mhhh, leo kazi ipo!.
kama upo upande wa SPAIN hakuna kazi mkuu! relax !:ranger:
hehehe mkuu hawa nadhani ni equaldogs ,lakini baada ya 90 ORANGE ataanza kuwa underdogs rasmi kuanzia leo.mi na UNDERDOGS TU......kwa maoni yangu ORANGE leo ni underdogs.....
kama upo upande wa SPAIN hakuna kazi mkuu! relax !:ranger:
he he nini kinajiri...leo mimi naangalia CCM
wale washabiki wa udachi wanashauriwa kuwa na pain killer pembeni. kuna maumivu makali yanakaribia.
:first: For SPAIN.
he he nini kinajiri...leo mimi naangalia CCM