Why is Ghanaina coach dismissing his assistants from hugging him celebrating the victory?
because he is Serbian. The Ghanaian coach is from Serbia. I wonder how he feels.
MKuu....Masahihisho kidogo kwenye hiyo picha ya kati.......Huyo si S. Muntari....Huyo ni K. Asamoah.....Muntari hajacheza kabisa leo.....Asante kwa mapicha mkuu
Sketi... I mean Kaptura za Ghana maridadi sana!
germany 2,australia 0
Nadhani hii ni mechi rahisi kwa Ujerumani, wanaweza kabisa kumbugiza mtu goli tatu bila au hata zaidi.