World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

Mpira umemalizika Ghana imeondoka na goli moja na ni ushindi mnono kwa timu za Afrika na watu wake ,habari kutoka kwa WaGhana wanasema kuwa kombe linachezwa nyumbani,hivyo wanasababu ya kushinda mechi zote.
 
daaaaah daaahhh wana bahati sana hawa Serbia............ngoma ilikuw aiwe mbili hii
 
Game over Ghana 1 Serbia 0........Heheeeeeeeeeeeeeeeeeee...Safi sana Ghana
 
Why is Ghanaina coach dismissing his assistants from hugging him celebrating the victory?
 
kwakweli ili goli la pili
hureey ghana mmetutoa kimaso
 
Mpira umemalizika Ghana imeondoka na goli moja na ni ushindi mnono kwa timu za Afrika na watu wake ,habari kutoka kwa WaGhana wanasema kuwa kombe linachezwa nyumbani,hivyo wanasababu ya kushinda mechi zote.

ustaadh umepotea mno ustaadh.................karibu tena
 
Ghana kama wanataka kufika mbele, inabidi wampange mapema Appiah, maana madogo wa pale kati pasi zao hazina akili, halafu wanaremba sana. Mechi zijazo sidhani kama watapewa space and time kama walivopewa leo.
 
Why is Ghanaina coach dismissing his assistants from hugging him celebrating the victory?
......nafikri Kocha alikuwa na furaha pamoja na hasira kwani zilitakiwa kuwa goli mbili kama si tatu.........you are very sensitive Rev..........pure African attitude when it comes to dis kind of tings......lol
 
_48063341_ayew_reuters.jpg


Dede Ayew!!!!
 
b14e810d0fa366ff58bb1ddefd9effb5-getty-98709300jd083_serbia_v_ghan.jpg


Milos Krasic of Serbia is challenged by Andre Ayew of Ghana during the 2010 FIFA World Cup South Africa Group D match


030b96c3081fd9c8a86c1d631c308248-getty-fbl-wc2010-match08-srb-gha.jpg



73b5c321696dd638a63ae49560f490b0-getty-98709300jd086_serbia_v_ghan.jpg

Kevin Prince Boateng of Ghana (R) tackles Milan Jovanovic of Serbia

MKuu....Masahihisho kidogo kwenye hiyo picha ya kati.......Huyo si S. Muntari....Huyo ni K. Asamoah.....Muntari hajacheza kabisa leo.....Asante kwa mapicha mkuu
 
Back
Top Bottom