World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

hivi huyu kocha wao ana akili kweli??anamuweka WEBBO centre foward....ETO'O right winger............SONG bench......kateenager sijui kamecheza 3 int.games ndio kameanza.....aaaaargh

Nchi zingine zenye wachezaji wenye vijapi wengi tu kama hii Cameroon wala hawaitaji makocha kutoka nje.wanachanganya habari tu dogo Song anuwezo hata wa kucheza centre forward kama hamtaki pale midfield.
 
Sasa yule aliepiga kona ni debutant sio. Hana akili ya mpira..ovyooo
 
It is soooo easy to defend against Cameroon, yaani cutting is zero.
 
Hivi Cameroon walifikaje World Cup in the first place? Nafikiri Tz could do better...
 
Sasa hivi ndio wameona umuhimu wa kujaribu badala ya krosi zao mkaa..
 
Huyu kocha mzungu anachukua hela ya bure kabisa..Miafrika bana.Mbona wajapan wana kocha wao mjapan ingawa kwenye ranks za FIFA Cam watakuwa juu yao.
 
Cameroon should consider themselves eliminated, hata wakipata droo is as good as useless.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…