preta niambie uko upande gani mi nataka tuwe tofautiina maana mpaka sasa hujamjua mshindi?.......kuna hili lijamaa la Korea sijui linalia nini
Wanawanyima nafasi lakini hii style mara nyingi mabeki wanaishiaga kuchoka kwa vile inaleta mashambulizi mengi,baada hapo wakichoka ndio mvua inaanza sasa ya magoili manake wakiachia kimoja watalizika na wao kupanda.n.korea wanacheza 5-4-1 formation........brazil wana kazi leo........inabidi watumie very quick passes and movements
mie nahisi alikuwa anakumbuka tu matatizo ya nchini kwao.
40mins gone 0-0.......C'MON KOREA............GO KOREA GO...........