jamani kuna namna ya kuona live kwa sisi ambao bado tupo maofisini? I Mean kwa mtandao
Ipo mkulu na anachezea Pallacios wa totenham.duh! niseme ukweli tu hiyo nchi HONDURAS ndo naiskia leo.
Ina maana SAF ameshamnunua?Sanchez ndio mrithi wa C Ronaldo Man UTD lakini wote poteza wakati tu
ooh!
kipute kimestati?
Ref wetu leo.....HOWARD WEBB..........