World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

Penaltyyyyyyyyyyyyyyyyyyyy to SAuz na red card juu kwa kipa wa sauzi a big big blow
 
Dah nilisema tu hapa hawa sauzi mbeleko imeshindikana dah
 
Wanamuangusha Parreira

Perreira alijiangusha mwenyewe mapema kwa kumuacha mzoefu Mc Carthy bila sababu yoyote...............Pia ni bora angemuita mkongwe Sibusiso Zuma..............Hawa wadogo angewatumia tu kwenye Confederation wajitangaze badala ya kutumia WC kujiuza.............
 
hawana kitu ilitabiriwa hii kitu kocha hapa so wa kulaumiwa kabisa ni wao hakuna kitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…