World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

Mmmh mpr unaenda kasi mpk na waswas tutakandikwa lingne! Kipa wa bfna anatoka sana naona!
 
Kwa kweli hali ni mbaya hadi hamu ya kutazama mpira imepotea!
 
Lol hawa jamaa ni hamna kitu sasa sijui kwa nini walimuacha McCarthy?
 
kipindi cha pili watakuwa wazuri tu,hope goli litarudi.....wanamiss a bit of quality mbele.....
 
soc_g_forlan1x_576.jpg

Jamaa aliyecheka na nyavu huyo!.
 
Labda 2nd half s.a watarudi na mbinu mbadala zitakazowezesha kusawazisha goli na kupata mengine ya ushindi!
 
Yai cjui waafrica kuna nn miguuni! Yani unaweza ukaona wachezaji wamechachamamaa kama ivi but cjui wanamess up wap tena! mie cjaona kbs! Lol this time Africa mmh..kazi ipo cjui nani atavuka ata round ya kwanza tu!
 
Back
Top Bottom