Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,215
- 3,076
Wasauzi walianza kuimba imba kule kwene tunnel,they r really annoying and irritating.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa wanapuliza kama hawana akili vile. Ila nina wasiwasi watafungwa!Ha leo hizo vuvu... zitatoboa masikio ya watu!
Jamaa kambamiza, naamini maumivu kayapata kwelikweli... Ila as an experienced player huenda hajasikia maumivu sanaPinaar kaishie kukandwa maji na mwana kamkosa.
Basi na Luis Nani atakuwa ni mtu kutoka Dar hahahahaHuyu Lugano wa Uruguay katokea Mwakaleli nini?
Nyimbo ya taifa ya SA kama Bongo, basi raha kweli yani...
Kiongozi maumivu yapo palepale.Jamaa kambamiza, naamini maumivu kayapata kwelikweli... Ila as an experienced player huenda hajasikia maumivu sana
Tshabalala anajipendelea bana, atasababisha SA wajutie hivi hivi.Kiongozi maumivu yapo palepale.
Hahaha, sisi ndo tumedesa kwao?mandela na nyerere walipeana mistari ha ha ha.