RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 55,727
- 123,094
Kushabikia Sauz ni kujitakia BP ya bure, hawana tofauti na Cameroon.
mkuu unafikiri tunapenda...uzalendo tu....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kushabikia Sauz ni kujitakia BP ya bure, hawana tofauti na Cameroon.
Goli litarudi hilo mapema sana.
Uzalendo kitu kibaya sana, yani mtu unaumia mpaka unajigundua UMEUMIA SANA!mkuu unafikiri tunapenda...uzalendo tu....
Hapo hakuna kitu ndugu yangu, inabidi sasa hivi tukakojoe tu tulale!.Goli litarudi hilo mapema sana.
SA wamezidiwa...
WAKO nyumbani watarudi tu wakuu lol.
Lol hawa jamaa ni hamna kitu sasa sijui kwa nini walimuacha McCarthy?
Kifupi... NDIVYO TULIVYO!Lol hawa jamaa ni hamna kitu sasa sijui kwa nini walimuacha McCarthy?