Sikonge
JF-Expert Member
- Jan 19, 2008
- 11,584
- 6,136
German ana woga na Brazil tu duniani. Sijui kwa nini hawataki kubadili hiyo imani.
Ni sawa na Real Madrid akikutana na Lion au Manchester United akikutana na Bayern Munich, MU huwa wanalia tu. (walibahatima mara moja).
Sami Khedira baba yake ni M-Tunisia.
Kwenye benchi kuna Mpolish mwingine anaitwa Piotr Trochowski
Na huyu aliyeingia Marin kazaliwa Bosnia.
Dennis Aogo huyu ni Fanta ya Ki-nigeria.
Ni sawa na Real Madrid akikutana na Lion au Manchester United akikutana na Bayern Munich, MU huwa wanalia tu. (walibahatima mara moja).
Sami Khedira baba yake ni M-Tunisia.
Kwenye benchi kuna Mpolish mwingine anaitwa Piotr Trochowski
Na huyu aliyeingia Marin kazaliwa Bosnia.
Dennis Aogo huyu ni Fanta ya Ki-nigeria.