Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,205
nimeshangaa sana jinsi gilberto silva alivyo na kiwango kizuri halafu Mr. Bean akamuuza kwa shilingi elfu sita
yule mzee si mpuuzi sometimes,na kuna uwezekano anarudi uingereza.Mr bean bangi zake sometimes noma sana.