Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora ujilalie tu maana leo nuksi tupu.
Wakuu ngoja na mimi niutafute tu usingizi sasa. Afadhali nilikula mapema kabla mpira haujaisha maana hata hamu ya kula ingetoweka kabisa
bora utulie usije ukaenda kunywa pombe kupita kiwango kwa hasira,hii inauma kushinda wale wengine wote.
asante,yani Asamoah kanilostisha sana..naona nikifunga macho nitakuwa naota penalt aliyokosa..
asante,yani Asamoah kanilostisha sana..naona nikifunga macho nitakuwa naota penalt aliyokosa..
nuksi kupita kiasi..naweza kuanguka barabarani bure ila yote tis hongera kwa Ghana walipofika!
Ulale unono mkuu, tomorrow is another day.
BJ walikuwa na so many opportunities ya kufika mbali zaidi ya walipofika lakini uzembe na maamuzi yasiyo na busara yametucost Waafrika wote.
Hahahah mzee wewe balaa ni ile chakula ya wakubwa usiku ama chakula ipi?
dah! ushamjulisha jamaa? au ulikuwa unaenda kivyako tu? pole dadaake. mimi hasira zangu kesho asubuhi sikogi bana. hehehehe
Homeboy, ni chakula cha kawaida tu, tena nimekula ugali na sato.
Homeboy, ni chakula cha kawaida tu, tena nimekula ugali na sato.
meza vidonge vya usingizi la sivyo utakuwa unaamka kila saa kushangilia penati yake kapata ukistuka kitu "ndoto".
Mie najaribu kujibaraguzabaraguza hapa lakini kichwa na moyo vyote havitaki, yaani ni huzuni kubwa sana hasa ukitilia maanani there were so many opportunities to win that game.