Na siamini hiki kisago ni kwa ajili Neymar Jr na Thiago Silva kutokuwepo.
Kwa jinsi walivyocheza defense leo hata wangekuwa na Pele, Zico, Romario, na Ronaldo....wangefungwa tu.
Oscar anachafua hali ya hewa
Kila timu nayoshangilia inafungwa WorldCup hii bora kesho niwe Argentina ili Holland ipite.
Jamanii Huu si Udhalilishajii sasa 7-1
Hamna haki za binadamu hapa...