Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
11 ili kila mtu apate lake. ...
Hapana mkuu mimi si shabiki wa timu yoyote inayoshindwa/iliyoshindwa! Mimi ni mwana michezo in the real sense; ndiyo maana nilisema toka mwanzo huu ni ushindani kati ya Ulaya na Amerika Kusini. Nitakuwa shabiki wa timu ya Taifa siku serikali ng'ang'anizi hii itakapoachia madaraka, nchi iweze kupiga hatua. Chini ya CCM? hata huo ubingwa Afrika tutakuwa tunausikia tu. Sasa subiri kesho tushuhudie machozi mengine yakimwagika!Kwa kumbukumbu tu we' ni mshabiki nguli wa Brazil...
Scolari ahame nchi,yeye na familia yake
huko Brazil full vurugu...
mitaani watu wanafanya fujo
hahahahahahahahaa#TeamMkoloni ... Wale waliowahi kutazama TVZ miaka ile watakumbuka kipindi cha Football Made in German
Tiago silva alikuwa ana ibeba hii timu ndio maana kocha alikuwa ana mlilia jamaa ni zinga la beki.Team Brazil kutokuwa na wachezaji muhimu kama hawa: Thiago Silva & Neymar, matokeo ndiyo haya!
Hii Brazil ni mbovu hata wangekuwa Neymar na Silva idadi ya magoli ingepungua but wangefungwa tu
Waiting....hata leo asilale nyumbani kwake. anything can happen
hata leo asilale nyumbani kwake. anything can happen