haa haaa mweeeh !!!Kesho asubuhi father akiamka na kuniuliza kuhusu Brazil, sijui nimjibu vipi. Maana ana presha.
Sijui nimwambie "Boko Haram wameiteka timu ya Brazil au Boko Haram wamemteka refa mechi haikuchezwa" sijui nisemeje!
Jamani naomba ushauri na babaangu nampenda
cc andybird314 BAK Skype Katavi andate
Nawakumbusha maneno yao tu Mkuu
Itakuwa halali yao mkuu.
Ntashangaa sana kama Dante na Fred hawajapelekwa mahakamani leo
...Wanatamani wasogeze 2018 iwe mwaka kesho 🙂🙂 lakini ndiyo hivyo tena, sasa ni kutafakari kwa kina wapi walipokosea na kuanza upya kuisuka timu ya 2018.
nilisema humu !
Brazili kimpira haifik fainali
ila kiftna itafika!
sasa wamefanya fitna weeeee kwa wier ist futbal wamechemsha!
Andybird231 sijui yu wapi yaillahi
Mfumo wa "tiktak" hauna nafasi tena ktk soka la dunia ya sasa!Beki akabe kwanza kushambulia kwa nadra iwe!Lkn Brazil wakijirekebisha 2018 wanaweza fika zaidi ya hapa
Hawa jamaa fujo njenje kama wewe
Hawana jinsi zaidi ya kuanza kulia
Nimehamia rasmi Argentina sasa....
Messi legoooooooooooooooo
Nataka sana kombe libaki Americas
usingizi hauji kabisa kila nikilala taswira za match zinanirudia . Dah
Yaani wale mabeki wameachia magoli ya kizembe sijapata kuona.
Nilikuwa naangalia uchambuzi wa ESPN ukionyesha mabeki wa Brasil jinsi walivyokuwa wamesimama tu wakiwaangalia washambuliaji wa Ujerumani bila hata kuwakaba.
It was so weird! Hata Wajerumani wenyewe hawaamini kilichotokea.
Naona uoga umetoka wote, yaani kama wachezaji wao wameweza kuvumilia dakika 90 ngoja na mie nivumilie. Ila wanajua kabisa wananchi watalipuka
Ceasar hajacheza mechi yyt ya maana kwa mwaka na nusu leo anafanywa keeper wa kwanza wa Brazil!Kipa huyu hana hata team ya maana anayoidakia
ilikuwa ni WC mwaka gani?
Scolari aliichagua team yake miaka 3 iliyopita na wala hakujali viwango vipya!Kocha ajaye amlete Miranda wa Atletico acheze na Silva na Fernandihno!Fukuza Dante na Paulihno lkn muache Luiz kama reserve
Neymar na Oscar waitwe kama mido za pembeni na sio kama eti ndiyo unawategemea!Msimamie Pato afanye mazoezi awe striker wa Brazil maana umri bado sana!Then msimamie Dihno apunguze unene asimame na Pato
Kesho asubuhi father akiamka na kuniuliza kuhusu Brazil, sijui nimjibu vipi. Maana ana presha.
Sijui nimwambie "Boko Haram wameiteka timu ya Brazil au Boko Haram wamemteka refa mechi haikuchezwa" sijui nisemeje!
Jamani naomba ushauri na babaangu nampenda
cc andybird314 BAK Skype Katavi andate