kwa sasa sina, timu yeyote atakayechukua kombe kati ya walioingia hatua hii poa tu.
Tukisema ukweli wale wachezaji wameathirikia kisaikolojia. Mashabiki walilia sana na sidhani kama wataisahau hii siku
Argentina tunaomba messi aendeleza
Hapo fainal itanoga
Tukisema ukweli wale wachezaji wameathirikia kisaikolojia. Mashabiki walilia sana na sidhani kama wataisahau hii siku
Team Holland leo,kombe liende ulaya hili,likienda ulaya naanza kusave kwenye kibubu changu,nakivunja 2016 kwa ajili ya kwenda kushuhudia EURO CUP 2016 FRANCE,tena itanoga zaidi team inayochukua WC14 ndo ikachukue EUR CUP 16,in this case Holland au Germany!
Neymar asinge hata itwa kwenye team ya Brazil ya mwaka 1998-2006!Pato angesimamiwa angefanya mambo zaidi ya Neymar
Kikosi cha kwanza kama mchezaji Gustavo asingeitwa hata Brazil under 19!Lkn leo Gustavo eti ndiyo mido panga pangua wa Brazil
Fred ni zigo la miiba badala ya kufunga yeye anaokoa.
Kipa alikuwa tatizo kubwa na huyo fred nae wamkate kichw tu
Nikiwa kama Refa wa kujitolea humu na kwa niaba ya wanasport wote humu, ndugu Katavi popote pale ulipo tunakuomba sana tena sana USITAJE timu unayoishabikia,wewe umekuwa ni zaidi ya Mtabiri humu,hatukunyanyapai ila tunakupenda sana.
cc MEANDU BAK Malafyale Bantu lady, Victoire, Heaven on Earth, Bulldog, @BWAN'CHUCHU, adolay, s.crony mournho Skype DEMBA na wengine wote.
Uliskia maneno ya Luiz? aliongea mpaka akatia huruma sana,ukipata ile script embu irushe hapa.
Tukisema ukweli wale wachezaji wameathirikia kisaikolojia. Mashabiki walilia sana na sidhani kama wataisahau hii siku
Neymar ameonesha kiwango kikibwa kwenye WC 2014 kilichoiangusha brasil ni wenzake kina fred na hulk wanatoa msaada mdogo kwenye timu, ila kwa kiwango alichokua nacho sasa ana uwezo wa kupata namba katika taifa lolote hapa duniani
david Luiza naye chenga tu, psg wamekula garassa
Acha ushabiki wako neymar ana kiwango kikubwa tu
Tutafutane saa saba usiku mwanangu,hapahapa kwenye hii thread!Endelea kuota mchana mama yangu.
Kafanyaje kwani?
kwa sasa sina, timu yeyote atakayechukua kombe kati ya walioingia hatua hii poa tu.
Usiumeume maneno...ni Lukas Podolski.yule mshambuliaji anachezea Arsenal wote wanasubiri benchi