HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Naikumbuka sana yaani nahisi kama ni gundu fulani vile. Ila ndio mpira ukiweka mategemeo sana unaanguka kwa aibu. Brazil wamenifanya hata kazini wanaanza nisumbua na sijaenda hadi sasa
Last edited by a moderator: