Sielewi Neymar afanye nini ili akubalike.Neymar ni mchezaji wa kiwango cha juu sana,bahati yake mbaya anakulia katika vikosi vya timu kubwa zinazoshuka viwango,hasa Barca na Brazil,hivyo juhudi zake hazionekani uwanjani kwani anabebeshwa expectations zote yeye peke yake,hivyo timu ikifungwa inaonekana kafungwa Neymar.labda na vyombo vya habari vinachangia hili kwa kumhighlight mtu mmoja tuu kupita kiasi.Neymar akikaa kwenye vikosi vyenye mafanikio na wachezaji wengi wanaomulikwa individually kama yeye,ataonekana aking'aa.Kila ninapoona anakuwa criticized huwa natumia muda mwingi kumtazama uwanjani,namfanyia tafakuri,speed,mobility,agility,creativity,vision,nagundua hafit kwenye timu hizi,ndio maana anaonekana kama anakosea.kuna wakati unamwona anatoka kasi,anapangua mabeki,anaingia penalt box peke yake,mabeki wanamjua,wanamfuata msitu,anatafuta mtu wa kucheza nae one two hakuna,matokeo yake anaforce chenga nyingi mahali pagumu na mabeki wanamhadaa kumhamisha kwenye dangerous zones,anapiga mashuti yanakuwa blocked au off target,au atapiga back pass na kuonekana kupoza mashambulizi.hivi vinamfanya mtu anayemtazama Neymar individually akiwa na expectations amuone hajui au average player,tunasahau kuwa hata malaika waliumbwa wengi kwa sababu inahitajika nguvu ya wengi,Gabriel alipigana na Lucifer,Leviathan,na mashetani wengine for 3days bila ushindi,vita ikawa ngumu,Mungu akatuma malaika mkuu mwingine Michael,maana akina Lucifer nao walikuwa powerful angels,Teamwork ya Michael,Gabriel na majeshi yao ikamtwanga Lucifer na majeshi yake hadi Pandemonium.wakaona bora waje kuanzisha conflict na Adam aliye pekee tena kwa mdomo bila vita kuliko kukutana na yale magangwe ya mbinguni tena.sasa kama malaika ni hivi,what about Neymar?naumia kuona kila afanyalo dogo hamumkubali dah!inasononesha sana.