palalisote
JF-Expert Member
- Aug 4, 2010
- 8,335
- 1,459
Mtafutie namba Germany huyu Neymar!Je unajua kama Reus asingeumia ndiyo anaanza Germany pamoja na Muller ambapo akina Klose,Kroos,Gotze,Schurrle na yule mshambuliaji anachezea Arsenal wote wanasubiri benchi!!Hapo dimba ya nyuma kuna mtu anaitwa Gundagan nae kaumia ambapo akiwepo Howdes anasubiri~!!
Hapo Badstubber bado anaumwa!Acha kabisa mkuu Neymar hata reserve hawekwi Germany
Kama kawa tupo pamoja Mkuu
#TeamArgentina
uholanzi anatwaa ubingwa kwa mara ya kwanza, mark my word, jumapili si mbali, na leo utamuona mgongo tu akiwa anaelekea jumapili.uholanzi haendi kokote leo. wewe subiria tu masaa machache utakimbia jukwaa
Hmmm....hapo tutakuwa pande kinzani. Kama Wadachi wakipita leo basi aacha tu Majerumani yachukue. Siwapendi kabisa mimi hao Wadachi.
Na licha ya Wajerumani kuleta maumivu jana (ingawa nadhani maumivu yalikuwa self-inflicted na Brasi wenyewe) siwezi kabisa ku-root kwa Wadachi.
Na kwa jinsi ninavyoona tayari hayo Majerumani yameshaleta hofu kwa yeyote yule atakaye cheza nayo hiyo Jumapili. Ushindi wa jana umeathiri saikolojia za wengi.
Sielewi Neymar afanye nini ili akubalike.Neymar ni mchezaji wa kiwango cha juu sana,bahati yake mbaya anakulia katika vikosi vya timu kubwa zinazoshuka viwango,hasa Barca na Brazil,hivyo juhudi zake hazionekani uwanjani kwani anabebeshwa expectations zote yeye peke yake,hivyo timu ikifungwa inaonekana kafungwa Neymar.labda na vyombo vya habari vinachangia hili kwa kumhighlight mtu mmoja tuu kupita kiasi.Neymar akikaa kwenye vikosi vyenye mafanikio na wachezaji wengi wanaomulikwa individually kama yeye,ataonekana aking'aa.Kila ninapoona anakuwa criticized huwa natumia muda mwingi kumtazama uwanjani,namfanyia tafakuri,speed,mobility,agility,creativity,vision,nagundua hafit kwenye timu hizi,ndio maana anaonekana kama anakosea.kuna wakati unamwona anatoka kasi,anapangua mabeki,anaingia penalt box peke yake,mabeki wanamjua,wanamfuata msitu,anatafuta mtu wa kucheza nae one two hakuna,matokeo yake anaforce chenga nyingi mahali pagumu na mabeki wanamhadaa kumhamisha kwenye dangerous zones,anapiga mashuti yanakuwa blocked au off target,au atapiga back pass na kuonekana kupoza mashambulizi.hivi vinamfanya mtu anayemtazama Neymar individually akiwa na expectations amuone hajui au average player,tunasahau kuwa hata malaika waliumbwa wengi kwa sababu inahitajika nguvu ya wengi,Gabriel alipigana na Lucifer,Leviathan,na mashetani wengine for 3days bila ushindi,vita ikawa ngumu,Mungu akatuma malaika mkuu mwingine Michael,maana akina Lucifer nao walikuwa powerful angels,Teamwork ya Michael,Gabriel na majeshi yao ikamtwanga Lucifer na majeshi yake hadi Pandemonium.wakaona bora waje kuanzisha conflict na Adam aliye pekee tena kwa mdomo bila vita kuliko kukutana na yale magangwe ya mbinguni tena.sasa kama malaika ni hivi,what about Neymar?naumia kuona kila afanyalo dogo hamumkubali dah!inasononesha sana.
kwani hujui?? akishabikia timu yako tu ujue ni majanga.
Tuseme tu ukweli ujerumani hawatishi kihivyo,hata jana wala hawakucheza mpira wa nguvu kwamba ndo ukaleta mabao yale,nguvu waliyotumia kucheza na France au Ghana ingetumika jana nadhani mabao yangekuwa 90 maana kila dakika ingekuwa ni goli, Brazil jana hawakuwa teamwork kabisa beki mbovu,wakapanikii wakawa hawawezi tena ukiangalia goli la 2-5 lililovyoingia ilikuwa ni ajabu sana hata kimanzichana shule ya msingi wasingefanya hivyo.Hmmm....hapo tutakuwa pande kinzani. Kama Wadachi wakipita leo basi aacha tu Majerumani yachukue. Siwapendi kabisa mimi hao Wadachi.
Na licha ya Wajerumani kuleta maumivu jana (ingawa nadhani maumivu yalikuwa self-inflicted na Brasi wenyewe) siwezi kabisa ku-root kwa Wadachi.
Na kwa jinsi ninavyoona tayari hayo Majerumani yameshaleta hofu kwa yeyote yule atakaye cheza nayo hiyo Jumapili. Ushindi wa jana umeathiri saikolojia za wengi.
Tuseme tu ukweli ujerumani hawatishi kihivyo,hata jana wala hawakucheza mpira wa nguvu kwamba ndo ukaleta mabao yale,nguvu waliyotumia kucheza na France au Ghana ingetumika jana nadhani mabao yangekuwa 90 maana kila dakika ingekuwa ni goli, Brazil jana hawakuwa teamwork kabisa beki mbovu,wakapanikii wakawa hawawezi tena ukiangalia goli la 2-5 lililovyoingia ilikuwa ni ajabu sana hata kimanzichana shule ya msingi wasingefanya hivyo.
Game ya jana sio Luiz tu wakulaumiwa timu nzima ilichemsha, magoli 2 yametoka kwa Fernandinho kanyanganywa mpira mara mbili na Kroos na Khedira ndio maana Scolari alimtoa half time,2 kwa Marcelo then Luiz na Dante.David Luiz alishindwa kuiongoza na kuipanga timu kama nahodha,Marcelo na Luiz walikuwa wanapanda wanajisahau kurudi kukaba
Willian alipaswa kuanza nafasi ya Neymar.Fred hata Taifa Stars hawezi pata namba
,Brazil hii ilikuwa average sana tactics za kocha ndio zilipaswa kuwabeba but nae akachemka.Holland wana timu average but tactics za kocha zimewabeba
Kuna mtu anajua sehemu ambayo itakuwa na livestream ya mechi ya leo? Kama yupo naomba aniwekee anwani ya tovuti. Natanguliza shukrani.
hapo chini kutakuwa na link nyingi tu ila ni saa moja kabla ya game kuanza zitakuwa hewani
Netherlands vs Argentina - 09 Jul 2014 - Live Streaming
Nashukuru sana.
Poleni Wakuu....! Tena naitoa kungali mapema msije sema sikuwapa pole!Kama kawa tupo pamoja Mkuu
#TeamArgentina