World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

basi lillilobeba wachezaji wa ujerumani likisindikwa na wanajeshi wenye silaha za kivita

_76143562_75127979-1ee1-4346-bf39-55a644f6ac51.jpg
 
Mtafutie namba Germany huyu Neymar!Je unajua kama Reus asingeumia ndiyo anaanza Germany pamoja na Muller ambapo akina Klose,Kroos,Gotze,Schurrle na yule mshambuliaji anachezea Arsenal wote wanasubiri benchi!!Hapo dimba ya nyuma kuna mtu anaitwa Gundagan nae kaumia ambapo akiwepo Howdes anasubiri~!!

Hapo Badstubber bado anaumwa!Acha kabisa mkuu Neymar hata reserve hawekwi Germany

Hawa uliowataja wote hawajui mpira, huoni uwezo wowote wanaotumia kama wa kipekee ndani ya footbal, eti Klose,Kroos,Gotze,Schurrle ambukukuku hamba kitu hapa ndugu, mpira si kucheza bali ni kuuchezea, kama close hodari tangu 2001 kuna zawadi gani ya mwanasoka bora aloipata
 
uholanzi haendi kokote leo. wewe subiria tu masaa machache utakimbia jukwaa
uholanzi anatwaa ubingwa kwa mara ya kwanza, mark my word, jumapili si mbali, na leo utamuona mgongo tu akiwa anaelekea jumapili.
 
Mie siyo kwamba nawachukia Wajerumani kihivyo, ila kwenye mashindano yoyote yale sijawahi kuishangilia Ujerumani, hivyo yeyote kati ya hizi timu mbili washiriki katika hii semi final ya leo itakayoshinda ndio chama yangu Jumapili, lakini nataka sana kuwaona Argentina wakishinda leo. Nao wana pengo kubwa la kumkosa Di Maria.

Hmmm....hapo tutakuwa pande kinzani. Kama Wadachi wakipita leo basi aacha tu Majerumani yachukue. Siwapendi kabisa mimi hao Wadachi.

Na licha ya Wajerumani kuleta maumivu jana (ingawa nadhani maumivu yalikuwa self-inflicted na Brasi wenyewe) siwezi kabisa ku-root kwa Wadachi.

Na kwa jinsi ninavyoona tayari hayo Majerumani yameshaleta hofu kwa yeyote yule atakaye cheza nayo hiyo Jumapili. Ushindi wa jana umeathiri saikolojia za wengi.
 
Sielewi Neymar afanye nini ili akubalike.Neymar ni mchezaji wa kiwango cha juu sana,bahati yake mbaya anakulia katika vikosi vya timu kubwa zinazoshuka viwango,hasa Barca na Brazil,hivyo juhudi zake hazionekani uwanjani kwani anabebeshwa expectations zote yeye peke yake,hivyo timu ikifungwa inaonekana kafungwa Neymar.labda na vyombo vya habari vinachangia hili kwa kumhighlight mtu mmoja tuu kupita kiasi.Neymar akikaa kwenye vikosi vyenye mafanikio na wachezaji wengi wanaomulikwa individually kama yeye,ataonekana aking'aa.Kila ninapoona anakuwa criticized huwa natumia muda mwingi kumtazama uwanjani,namfanyia tafakuri,speed,mobility,agility,creativity,vision,nagundua hafit kwenye timu hizi,ndio maana anaonekana kama anakosea.kuna wakati unamwona anatoka kasi,anapangua mabeki,anaingia penalt box peke yake,mabeki wanamjua,wanamfuata msitu,anatafuta mtu wa kucheza nae one two hakuna,matokeo yake anaforce chenga nyingi mahali pagumu na mabeki wanamhadaa kumhamisha kwenye dangerous zones,anapiga mashuti yanakuwa blocked au off target,au atapiga back pass na kuonekana kupoza mashambulizi.hivi vinamfanya mtu anayemtazama Neymar individually akiwa na expectations amuone hajui au average player,tunasahau kuwa hata malaika waliumbwa wengi kwa sababu inahitajika nguvu ya wengi,Gabriel alipigana na Lucifer,Leviathan,na mashetani wengine for 3days bila ushindi,vita ikawa ngumu,Mungu akatuma malaika mkuu mwingine Michael,maana akina Lucifer nao walikuwa powerful angels,Teamwork ya Michael,Gabriel na majeshi yao ikamtwanga Lucifer na majeshi yake hadi Pandemonium.wakaona bora waje kuanzisha conflict na Adam aliye pekee tena kwa mdomo bila vita kuliko kukutana na yale magangwe ya mbinguni tena.sasa kama malaika ni hivi,what about Neymar?naumia kuona kila afanyalo dogo hamumkubali dah!inasononesha sana.

Dah!! umemuelezea Neymar mpka inanitia huruma,angekusoma hapa angekupenda bure,mimi namkubali alikuwa analeta changamoto sana kwa wenzie,kiasi fulani alikuwa anawafanya wawe pamoja,na mara nyingi alikuwa akiwapa hamasa wenzie kwa ishara za mikono kwamba wasonge mbele,na matokeo ya kutokuwepo kwake tumeona jana kulikuwa hamna team work kabisa.
 
Hmmm....hapo tutakuwa pande kinzani. Kama Wadachi wakipita leo basi aacha tu Majerumani yachukue. Siwapendi kabisa mimi hao Wadachi.

Na licha ya Wajerumani kuleta maumivu jana (ingawa nadhani maumivu yalikuwa self-inflicted na Brasi wenyewe) siwezi kabisa ku-root kwa Wadachi.

Na kwa jinsi ninavyoona tayari hayo Majerumani yameshaleta hofu kwa yeyote yule atakaye cheza nayo hiyo Jumapili. Ushindi wa jana umeathiri saikolojia za wengi.
Tuseme tu ukweli ujerumani hawatishi kihivyo,hata jana wala hawakucheza mpira wa nguvu kwamba ndo ukaleta mabao yale,nguvu waliyotumia kucheza na France au Ghana ingetumika jana nadhani mabao yangekuwa 90 maana kila dakika ingekuwa ni goli, Brazil jana hawakuwa teamwork kabisa beki mbovu,wakapanikii wakawa hawawezi tena ukiangalia goli la 2-5 lililovyoingia ilikuwa ni ajabu sana hata kimanzichana shule ya msingi wasingefanya hivyo.
 
Tuseme tu ukweli ujerumani hawatishi kihivyo,hata jana wala hawakucheza mpira wa nguvu kwamba ndo ukaleta mabao yale,nguvu waliyotumia kucheza na France au Ghana ingetumika jana nadhani mabao yangekuwa 90 maana kila dakika ingekuwa ni goli, Brazil jana hawakuwa teamwork kabisa beki mbovu,wakapanikii wakawa hawawezi tena ukiangalia goli la 2-5 lililovyoingia ilikuwa ni ajabu sana hata kimanzichana shule ya msingi wasingefanya hivyo.

Kweli kabisa, hawatishi kihivyo. Na jana walicheza kawaida sana. Ila magoli waliyofunga si kawaida katika soka.

Ni Brasil wenyewe ndo walioruhusu kufungwa magoli mengi hivyo.

Nahisi labda walielemewa na presha ya kutarajiwa kufanya vizuri kwa vile walikuwa nyumbani.

Mtu ukiwa exepected kufanya vuzir sana huwa wakati mwingine inakuwa ni disadvantage.

Yaani sikuamini kabisa jinsi mabeki wa Brasil walivyokuwa wanaacha nafasi wazi kiasi kile.

Ni kama vile walikuwa walikuwa wamepatwa na ganzi.

Unapoona hata Wajerumani wenyewe wanashangaa ilikuwaje hapo ndo ujue jana haukuwa mchezo wa kawaida wa soka.
 
Game ya jana sio Luiz tu wakulaumiwa timu nzima ilichemsha, magoli 2 yametoka kwa Fernandinho kanyanganywa mpira mara mbili na Kroos na Khedira ndio maana Scolari alimtoa half time,2 kwa Marcelo then Luiz na Dante.David Luiz alishindwa kuiongoza na kuipanga timu kama nahodha,Marcelo na Luiz walikuwa wanapanda wanajisahau kurudi kukaba
Willian alipaswa kuanza nafasi ya Neymar.Fred hata Taifa Stars hawezi pata namba
,Brazil hii ilikuwa average sana tactics za kocha ndio zilipaswa kuwabeba but nae akachemka.Holland wana timu average but tactics za kocha zimewabeba

Wewe unaujua mpira..hongera kwa maelezo murua.
 
Kuna mtu anajua sehemu ambayo itakuwa na livestream ya mechi ya leo? Kama yupo naomba aniwekee anwani ya tovuti. Natanguliza shukrani.
 
Arsenal itakuwa ndio klabu pekee toka Uingereza kuwa na wachezaji wengi kwenye Fainali.... Believe it or not
 

Argentina legend Diego Maradona believes his nation's World Cup fate rests entirely on the shoulders of Lionel Messi ahead of their semi-final against the Netherlands.

The Albiceleste have made it to the final four for the first time since 1990 and Maradona feels they have the Barcelona star to thank for their successful tournament so far.

Messi has scored four times in five appearances and faces yet more pressure to perform following an injury to Angel Di Maria, but Maradona is confident he will produce the goods.

"It's because of Messi that we have reached the last four for the first time since 1990 and one more will take us a step closer to our goal. But it won't be easy," Maradona told Times of India.

"A lot will obviously depend on Messi, who will remain the world's best player irrespective of the result.

"Is the pressure of carrying the hopes of a nation overpowering? International sport is all about that. When you lose a match of such magnitude, the country mourns. When you win, it erupts in joy. They dance, laugh, sing and cry. All for a mere win in a football match. South Americans are crazy about football and their footballers.

"No one knows it better than Messi. Because he doesn't play club football at home, watching him is a TV experience in Argentina.

"After failing to get past the quarter-finals in 2006 and 2010 with him in the side, his deeds this time have raised expectations."

Argentina last won the World Cup in 1986, when they beat West Germany 3-2 in the final.
 

Attachments

  • Messi vs Maradona.png
    Messi vs Maradona.png
    44 KB · Views: 102
Nikiwa bado na machungu ya jana..Leo Sishabikii timu yoyote..Itakayoshinda Leo nitaishabikia Fainali...
 
Back
Top Bottom