World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Ah!! Wapi!! Mi ndo nashinda nakifikiria tu kibarua ulichonipa,nadhani unaelewa Argentina ni kutoka uvungu wa moyo wangu Ikifungwa Sijui utanibeba na mbeleko ipi?


Kobe hashindwi beba nyumba yake, nitajitadi kama kobe wangu ilmradi hupotei.
 
Argentina's GK has never been tested so far, also Argentina national team has never been pressed by opponents we will see how will they cope with the Dutch pressure tonight. Will the history repeat itself like 1986,1990 Final or Holland vs Germany gonna meet in the final? Let's wait.
 
Hahahahahaha lol!!!! ile kukuona tu nimeanza kucheka mwenyewe lol! hahahahah halafu na hiyo Avatar yako dah! Basi Mkuu usitie neno zaidi baki na uamuzi wako wa mapema leo.

Mkuu mimi leo nafurahia burudani tu maana nikiongea humu naweza kupigwa.
 
Reactions: BAK
Mpira umeanza kwa team zote mbilibkucheza kwa kuvizia sana,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…