Van Gaal amemaliza sub?
Mkuu sub zishaisha kitambo tu
Hahaha!!!Hii mbinu mpya kutoka kwa Malafyale,inabidi ifanyiwe majaribio kama inawork out ili 2018 itumike.
Matuta
lol! mie huminya wakati wa matuta πππ si kabla ya hapo...Nawe unaminya nini? I m just asking lol!!!
mmmmmh hatari sana
Yaani umemchukia mkoloni kiasi hicho? Hahahaaaaaa
haya minya sasa....
Wadada huwa hawaminyi ila wanakibana kidole na naniliuulol! mie huminya wakati wa matuta πππ si kabla ya hapo...Nawe unaminya nini? I m just asking lol!!!
hata huyu aliyebaki anajua kudaka, tusimdharau sana.
Mashabiki wa Brazil tumenyanyasika,tumedhalilishwa vya kutosha.mtuache tupumue jamani.leo mtu ananitumia sms ananiambia leo ni tarehe 10/Brazil/2014!mwingine humu nakumbuka kasema Brazil jana walitumia nguvu nyingi kuimba national anthem hadi wakaishiwa pumzi ya mchezo!dah!