Jacobus
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 4,703
- 1,724
Sio utani mechi kati ya Deutscheland na Brasil iliuma mno mno mpaka nikazima TV baada ya goli la tano kufungwa. Tokea kuanza mechi hizo sijapata kufedheheka kaisi hicho hata zile mechi za wasakatonge wa Cameroon sikujisikia vibaya vile. Je wewe mwenzangu ni mechi gani iliyokupelekea kuzima TV kabla haijaisha sababu ya timu uipendayo kupoteza tumaini la ushindi?