sasa buldog nitafanza nini katika kipindi hiki kigumu ndugu yangu?
na hawachukui nakwambia. mkoloni atajipigia kiulaini tu
Vipi waarabu waliopo Tanzania nao hakuna mwenye hobby ya soccer?Kwa kauli hiyo tunajuaje kama watu weusi wa Argentina wanapenda soccer,maana michezo ni mingi
Wakuu everlenk BAK Malafyale MEANDU Otorong'ong'o mwekundu adolay na wengine wote wa [URL=https://www.jamiiforums.com/usertag.php?do=list&action=hash&hash=Team]#Team Argentina[/URL] , naomba nishukie kituo kinachofuata. Maana nimewasindikiza na kuwapa support mpaka mmekaribia kufika, narudi kwa mkoloni jamani, [URL=https://www.jamiiforums.com/usertag.php?do=list&action=hash&hash=Team]#Team Germany[/URL]
it will ease the pain.
Fresh tu...mimi mpira jana sikuangalia kabisa...ila nasikia subs zake jana hazikuwa poa sana..
Hata sisi watanzania tunaongoza kwa ubaguzi,unakumbuka yule miss Tanzania mwenye asili ya india?Hoyce Temu alitoa machozi.mpira ni kuhave fun,tukianza mambo ya ubaguzi,binadamu wote ni wabaguziKama ni ubaguzi Germany ni viongozi kwa Western Europe. Hapa tushabikie Kile ukipendacho Kumbe lishe tusubiri 2018 Kama tutakuwa hai. #teamargentina #teammessi
hhahaha hata mimi nipo neutral,teamless nitaenjoy kwa kweliFainali nipo neutral
Basi hili kombe Joachim analibeba,kama wewe ni team argentina
mkuu hujui unachokiongea. ukiondoa mchezo wa soka ambao hata siyo hobby ya watu wengi wa asia kwenye michezo mengine kama swiming, badminton, tennis, automobile, cricket, chess, rugby etc Tanzania inawakilishwa kimataifa na Watanzania wenye asili ya Kiasia. shida yenu kubwa ni kwamba mchezo kwenu ni soka tu hamna idea ya michezo mingi inayochezwa hapa nchini.