Yule Thiago Silva ambaye hakucheza juzi atakuwepo hivyo atapunguza uvujaji wa defence yao. Sijui kama goalie wao baada ya kutundikwa 7 juzi atakuwa tayari kulinda nyavu au atamuachia msaidizi wake.
Unakumbuka fainali za 2002?
Brasil waliigunga Ujerumani 2-0 na kutwaa ubingwa kwa mara ya tano.
Na Brasil ndiyo the most successful country in the history World Cup competition.
Something was wrong with them on Tuesday. They were not themselves at all.
Niite vyovyote just naipenda German ndipo niliposoma na kukulia I love German
Ujerumanibingwa anyone wanna bet?
Nakubaliana nawe na ndiyo sababu wapenzi wa kandanda ulimwenguni tumepigwa na bumbuwazi ya hali ya juu kuhusu kipigo kile hata Wajerumani badala ya kujipongeza kwa "uchezaji mzuri" sana na kushinda kwa ushindi wa "Tsunami" nao hawaelewi nini kilitokea.
hhahaha hata mimi nipo neutral,teamless nitaenjoy kwa kweli
Halafu, just to put things into proper perspective, Brasil kwenye world cup final games iko 5-2.
Yaani, wameshafika kwenye mchezo wa fainali za kombe la dunia mara saba na wameshinda mara tano kati ya hizo saba na wameshindwa mara mbili tu. Na mara ya mwisho kushinda kombe la dunia ni 2002.
Na kwa fainali tatu mfululizo, 1994, 1998, na 2002 Brasil ilifika hadi fainali. Katika hizo fainali wako 2-1.
Tuje kwa Ujerumani. Kwanza, mara ya mwisho Ujerumani kushinda kombe la dunia ni miaka 24 iliyopita. Yaani mwaka 1990.
Sasa hapo ulipo jiangalie halafu upige mahesabu, wewe ulikuwa na umri gani? Hahahaaaa....
Na mpaka sasa, ukiondoa huu mchezo wa Jumapili, Ujerumani imeshafika kwenye mchezo wa fainali mara saba (7) na wameshinda mara tatu. Imeshindwa mara nne. Yaani iko 3-4.
Wakishinda hii Jumapili watakuwa 4-4. Kwa hiyo, kwa kuangalia tu stats, Ujerumani si kwamba ni timu mbaya, lakini vile vile hawana rekodi ya kutisha kivile.
Italia wameshafikia mchezo wa fainali mara 6 na wameshinda mara nne. A much better record that Germany's.......and those are facts, not fiction.
That's why I'm not yet ready to write off Brasil. Sometimes failure can be the greatest motivator for success......
But we shall see...........
Naomba tubet. Argentina bingwa
Hela ya bure hiyo dada tuichukue tukaimalize Bar!Argentina HAWANA Neymar wala Gustavo;Fred wala Bernad ambao ni watu wa mbele wa hovyo hovyo kabisa kupata kuichezea Brazil!!
Germany Jumapili itakutana na Di Maria;Aguero;Enzo Perez;Lavezzi;Higuaini na Massiah Messi ambao individually wanaweza badili matokeo popote pale duniani!
Naomba tubet. Argentina bingwa
Hii inaitwa conspiracy theory au kwa kiswahili rahisi UZUSHI.
andate...actually my thanks was whenu started "name droppings..." km kuongea football tuongee tu si mengine yatatutoa nje ya soka,kwenye hii stats yako nimependa ila kwenye madai yako sijui conspirancy .....aaah mkuu ss kitafuata nini utakana hata Diego hana kiwango basi...?kwa nini conspiracy asitajwe Rooney basi ndo bora....Tuache uafrica huu wa kutafuta visingizio hata km facts zipo wazi.....
The Legend Lives On
Retirement did little to diminish the public profile of Pelé, who remained a popular pitchman and active in many professional arenas.
In 1978, Pelé was awarded the International Peace Award for his work with UNICEF. He has also served as Brazil's Extraordinary Minister for Sport and a United Nations ambassador for ecology and the environment.
Pelé was named FIFA's "Co-Player of the Century" in 1999, along with Argentine Diego Maradona. To many, his accomplishments on the soccer field will never be equaled, and virtually all great athletes in the sport are measured against the Brazilian who once made the world stop to watch his transcendent play....
Halafu, just to put things into proper perspective, Brasil kwenye world cup final games iko 5-2.
Yaani, wameshafika kwenye mchezo wa fainali za kombe la dunia mara saba na wameshinda mara tano kati ya hizo saba na wameshindwa mara mbili tu. Na mara ya mwisho kushinda kombe la dunia ni 2002.
Na kwa fainali tatu mfululizo, 1994, 1998, na 2002 Brasil ilifika hadi fainali. Katika hizo fainali wako 2-1.
Tuje kwa Ujerumani. Kwanza, mara ya mwisho Ujerumani kushinda kombe la dunia ni miaka 24 iliyopita. Yaani mwaka 1990.
Sasa hapo ulipo jiangalie halafu upige mahesabu, wewe ulikuwa na umri gani? Hahahaaaa....
Na mpaka sasa, ukiondoa huu mchezo wa Jumapili, Ujerumani imeshafika kwenye mchezo wa fainali mara saba (7) na wameshinda mara tatu. Imeshindwa mara nne. Yaani iko 3-4.
Wakishinda hii Jumapili watakuwa 4-4. Kwa hiyo, kwa kuangalia tu stats, Ujerumani si kwamba ni timu mbaya, lakini vile vile hawana rekodi ya kutisha kivile.
Italia wameshafikia mchezo wa fainali mara 6 na wameshinda mara nne. A much better record that Germany's.......and those are facts, not fiction.
That's why I'm not yet ready to write off Brasil. Sometimes failure can be the greatest motivator for success......
But we shall see...........
Some sole loser you are
Kama ulikua bado unaogeshwa na dada ako mwaka 1990 usifikiri kila unayejadiliana naye humu alikua bado zoba
Kama ulikua bado unaogeshwa mwaka 1990 hata hiyo World Cup ya mwaka 1994 hukuiangalia, huu ushabiki wako wa Brazil na hizi mbwembwe unaandika hapa ni mamluki tu
Hatuhitaji "rekodi ya kutisha kivile" kujua kuwa juzi Brazil walifanywa kitu mbaya na Mkoloni,
na wala huhitaji kuwataja the great Italians
kutetea team iliyopigwa "week" and you don't real need to write off Brazil because they are OFF already
We don't need to see anything,
because we've already seen the Brazilians being ripped to pieces by the great German side on tuesday of 8th July 2014
ina maana data nilizoziweka ni za uongo? Usitumie Source yangu tafuta ya kwako unayoiamini halafu tuletee hapa tuone.