World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Kuna rafik yangu kanichekesha sana. Kwamba alikuta watu.kijiwen wanabishana, kwamba Thomas Muller ni mchezaji mtata wa karne, haeleweki anacheza mpira gani, hapigi chenga yeye anachojua ni kupiga goli. Mi nikamjibu kimsingi magoli ndo mpango mzima. Hujafunga goli haikusaidii kwa lolote!
 
Ulinkafu nkamu gwangu? Muasisi wa tekiniki mpya nakutegemea kesho tubebe ndoo.

Ahahaha ndipo kalumbu!
Ile tekiniki naanza nayo kesho dakika ya kwanza ingawaje baada ya mpira kuisha maumivu makali sana nayapata lkn kwa Argentina nita sacrifice
 
King James in the house for World Cup final tomorrow.
BsX-Q6KCIAApesT.jpg:large
 
nikalale tu hakuna jipya najilaumu why did I wake up ningeendelea na usingizi wangu.

hongera Netherland ....

Brazil niko disappointed nao.
 
Back
Top Bottom