World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Kuna rafik yangu kanichekesha sana. Kwamba alikuta watu.kijiwen wanabishana, kwamba Thomas Muller ni mchezaji mtata wa karne, haeleweki anacheza mpira gani, hapigi chenga yeye anachojua ni kupiga goli. Mi nikamjibu kimsingi magoli ndo mpango mzima. Hujafunga goli haikusaidii kwa lolote!
 
Ulinkafu nkamu gwangu? Muasisi wa tekiniki mpya nakutegemea kesho tubebe ndoo.

Ahahaha ndipo kalumbu!
Ile tekiniki naanza nayo kesho dakika ya kwanza ingawaje baada ya mpira kuisha maumivu makali sana nayapata lkn kwa Argentina nita sacrifice
 
Dakika ndio zinamaliza hivyo!
Na kibanda ndio kinateketea na moto!
 
nikalale tu hakuna jipya najilaumu why did I wake up ningeendelea na usingizi wangu.

hongera Netherland ....

Brazil niko disappointed nao.
 
Holland hapo katoka Nyerere kaingia Jumbe!!Hawa wote wapo njema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…