World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Poleni sana Brazil.Ila timu yenu ni mbovu sana aisee,haistahili hata nafasi ya nne.
 
Aibu ipi? Kuwa timu bora ni lazima ufungwe na hii sio mara ya kwanza kwa Brazil kutokuchukua kombe ingawa wao ndio waandaaji. Kuna nchi nyingi tu waliandaa na hawakuchukua ubingwa. Wadachi bado hawajachukua hiki kikombe ndio sababu wanawewesekaweweseka na nafasi ya tatu. BTW Brazil hata mazoezi hawakufanya wao mashindano yaliisha baada ya kugalagazwa na GERMANY. Thats the only position wadachi watashika lakini Brazil ni wawaniaji wa kombe.

Brazil sio timu ya kufungwa goli 10 mechi 2 tena kwao,Hiki ni kikosi dhaifu cha Holland chenye average players na chipukizi wengi huwezi kulinganisha hata cha 98 ambacho kilitolewa na Brazil
 
Brasil wanahitaji bona fide goal scorers kama Romario na Ronaldo. Wanahitaji tena winga kama Bebeto.

Bado ninawaaminia sana. Sija give up kabisa kwa sababu tima and time again wamesha-deliver.

Mwaka huu hawakuwa na timu nzuri kabisa.

Bonafide and genuine
 
Brasil wanahitaji bona fide goal scorers kama Romario na Ronaldo. Wanahitaji tena winga kama Bebeto.

Bado ninawaaminia sana. Sija give up kabisa kwa sababu tima and time again wamesha-deliver.

Mwaka huu hawakuwa na timu nzuri kabisa.

Ngabu I am not sure kama unafuatilia mpira......hasa Eoropean Champions league...hiki kilichotekea bRAZIL kimewahi itokea timu za Spain mwaka jana..Barcelona na Real Madrid.... walipigwa hivi hivi na tinu za Ujerumani....Barca walipigwa saba na Bayern na Barca hiii hii yenye Messi.....wataalamu wanasema kuna kitu kimebadilika kwenye mpira...ndo maana unaona Brazil anafungwa huku anaongoza 'ball possessions '.......wanahitajika wajifunze European way of defending....Argentina wana defend European way...sio kama zamani tena.....so kikubwa ni tactic na technincs
 
Hahahahahaha lol!!!!! Kabisa Mkuu Mag3 shoti ya umeme wa Muhongo haina madhara yoyote ukilinganisha na ya Wajerumani.

Ningeshangaa sana kama matokeo yangekuwa tofauti...shoti ya umeme halafu uzinduke mapema hivi! Hata hilo haliwezekani, labda umeme wa Muhongo!
 
Last edited by a moderator:
nimefurahi mshikaji niliyekuwa namfagilia kafunga goli,midfielder wa Holland namba 20 mgongoni. Wapenzi wa Brazil muisahau timu yenu hadi (2022 USA world cup)*,Brazil hawatakwalifai 2018 Russia world cup,Holland wanaweza kulibeba benchini Urusi. Tuombe uhai hadi World Cup isiyo.
 
Kwa mara ya mwisho wakiwa kwenye fainali za kombe la dunia argentina alimfunga germany 3-2 hii ilikuwa 29/06/1986

[TABLE="class: head_to_head h2h_mutual, width: 550"]
[TR]
[TD="class: h-part last, colspan: 6"]Head-to-head matches: GERMANY - ARGENTINA (WORLD CUP)[/TD]
[/TR]
[TR="class: highlight odd"]
[TD="align: center"][/TD]
[TD="class: flag"][/TD]
[TD="class: name"][/TD]
[TD="class: name"][/TD]
[TD="class: last, align: center"][/TD]
[/TR]
[TR="class: highlight even, bgcolor: #F0F0F0"]
[TD="align: center"]03.07.10[/TD]
[TD="class: flag"]WOR[/TD]
[TD="class: name"]Argentina[/TD]
[TD="class: name"]Germany[/TD]
[TD="class: last, align: center"]0 : 4[/TD]
[/TR]
[TR="class: highlight odd"]
[TD="align: center"][/TD]
[TD="class: flag"][/TD]
[TD="class: name"][/TD]
[TD="class: name"][/TD]
[TD="class: last, align: center"][/TD]
[/TR]
[TR="class: highlight even, bgcolor: #F0F0F0"]
[TD="align: center"]30.06.06[/TD]
[TD="class: flag"]WOR[/TD]
[TD="class: name"]Germany[/TD]
[TD="class: name"]Argentina[/TD]
[TD="class: last, align: center"]2 : 1
(1 : 1)[/TD]
[/TR]
[TR="class: highlight odd"]
[TD="align: center"][/TD]
[TD="class: flag"][/TD]
[TD="class: name"][/TD]
[TD="class: name"][/TD]
[TD="class: last, align: center"][/TD]
[/TR]
[TR="class: highlight even, bgcolor: #F0F0F0"]
[TD="align: center"]08.07.90[/TD]
[TD="class: flag"]WOR[/TD]
[TD="class: name"]Germany[/TD]
[TD="class: name"]Argentina[/TD]
[TD="class: last, align: center"]1 : 0[/TD]
[/TR]
[TR="class: highlight odd"]
[TD="align: center"]29.06.86[/TD]
[TD="class: flag"]WOR[/TD]
[TD="class: name"]Argentina[/TD]
[TD="class: name"]Germany[/TD]
[TD="class: last, align: center"]3 : 2[/TD]
[/TR]
[TR="class: highlight even, bgcolor: #F0F0F0"]
[TD="align: center"]16.06.66[/TD]
[TD="class: flag"]WOR[/TD]
[TD="class: name"]Germany[/TD]
[TD="class: name"]Argentina[/TD]
[TD="class: last, align: center"]0 : 0[/TD]
[/TR]
[TR="class: highlight odd"]
[TD="align: center"]08.06.58[/TD]
[TD="class: flag"]WOR[/TD]
[TD="class: name"]Argentina[/TD]
[TD="class: name"]Germany[/TD]
[TD="class: last, align: center"]1 : 3[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Back
Top Bottom